Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kama unakwenda bahari Beach ukifika hapoIkwapi mkuu
Tuwasiliane Kesho nikupeleke Chimbo moja matata sana, linaitwa Mama's! Ni karibia kabisa na Ubalozi wa Saudi Arabia.Kazimoto Pork ni hatari😋😋 Tabata hiyo
Dah mkuu uko serious 😋😋 sijatumia kitambo hii kituu, thank youTuwasiliane Kesho nikupeleke Chimbo moja matata sana, linaitwa Mama's! Ni karibia kabisa na Ubalozi wa Saudi Arabia.
Yes.Dah mkuu uko serious 😋😋
Thank you mkuu, ntakuchekiYes.
Hapa nlikula sikuipenda kwa kweli..haikuwa na ladha ile ya mdudu yenyewe..sijui ni viungo au niniKazimoto Pork ni hatari[emoji39][emoji39] Tabata hiyo
Ni kweli ina too much viungo japo mimi ndiyo napenda. Unataka kumsikia pork mwenyewe og dear😀😀Hapa nlikula sikuipenda kwa kweli..haikuwa na ladha ile ya mdudu yenyewe..sijui ni viungo au nini
Eeh awe na udambwi udambwi asipotee kabisaaa buana[emoji23]Ni kweli ina too much viungo japo mimi ndiyo napenda. Unataka kumsikia pork mwenyewe og dear[emoji3][emoji3]
Kwakweli nakuunga mkono kabisa! Raha ya kitimoto ni taste og😛Eeh awe na udambwi udambwi asipotee kabisaaa buana[emoji23]
We kila uzi wa hii kitu nakukuta..Kuna chimbo huku tabata hata jina lake silijui,.lol
Vamponji karibu na sekondari flani ya kimataifaLipo moja hapa Mbeya maeneo ya mafyati panaitwa vamponji aisee tam mno kwa broo Allan
Sent using Jamii Forums mobile app
4gKuna chimbo huku tabata hata jina lake silijui,.lol
hapo nimekula sana mdudu...vamponji longtime kwenye gameLipo moja hapa Mbeya maeneo ya mafyati panaitwa vamponji aisee tam mno kwa broo Allan
Sent using Jamii Forums mobile app
karibu na gheto kwangu kwa zamaniKazimoto Pork ni hatari😋😋 Tabata hiyo