Tujuzane Restaurant za Dar zenye chakula na mazingira mazuri

Tujuzane Restaurant za Dar zenye chakula na mazingira mazuri

Wakuu habari za siku ya leo.

Mimi hupenda sana siku za sikukuu ama baadhi ya weekend mida ya jioni nikiwa peke yangu kupata chakula katika migahawa mizuri na bora. Sehemu ninazopendelea sana ni pamoja na sea cliff (ile restaurant ipo location poa sana) na sometimes wanakuwa na live band pale, roof top restaurants za African Hotel, Holiday inn na Harbor view na zingine.

Kwa ambao wako na experiance tupeane info, ni wapi pengine kunakuwa na good food pamoja na friendly environment kwa mida ya Jioni?
ipo moja haipo kwenye mazingira mazuri kule mwananyamala ila kwa chakula ni kiboko inaitwa afrikando
 
Wakuu habari za siku ya leo.

Mimi hupenda sana siku za sikukuu ama baadhi ya weekend mida ya jioni nikiwa peke yangu kupata chakula katika migahawa mizuri na bora. Sehemu ninazopendelea sana ni pamoja na sea cliff (ile restaurant ipo location poa sana) na sometimes wanakuwa na live band pale, roof top restaurants za African Hotel, Holiday inn na Harbor view na zingine.

Kwa ambao wako na experiance tupeane info, ni wapi pengine kunakuwa na good food pamoja na friendly environment kwa mida ya Jioni?
Una hela mkuu??
 
Back
Top Bottom