Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
ipo moja haipo kwenye mazingira mazuri kule mwananyamala ila kwa chakula ni kiboko inaitwa afrikandoWakuu habari za siku ya leo.
Mimi hupenda sana siku za sikukuu ama baadhi ya weekend mida ya jioni nikiwa peke yangu kupata chakula katika migahawa mizuri na bora. Sehemu ninazopendelea sana ni pamoja na sea cliff (ile restaurant ipo location poa sana) na sometimes wanakuwa na live band pale, roof top restaurants za African Hotel, Holiday inn na Harbor view na zingine.
Kwa ambao wako na experiance tupeane info, ni wapi pengine kunakuwa na good food pamoja na friendly environment kwa mida ya Jioni?
Una hela mkuu??Wakuu habari za siku ya leo.
Mimi hupenda sana siku za sikukuu ama baadhi ya weekend mida ya jioni nikiwa peke yangu kupata chakula katika migahawa mizuri na bora. Sehemu ninazopendelea sana ni pamoja na sea cliff (ile restaurant ipo location poa sana) na sometimes wanakuwa na live band pale, roof top restaurants za African Hotel, Holiday inn na Harbor view na zingine.
Kwa ambao wako na experiance tupeane info, ni wapi pengine kunakuwa na good food pamoja na friendly environment kwa mida ya Jioni?