kluger
JF-Expert Member
- Jun 16, 2016
- 2,093
- 1,899
Salaam wakuu,
Uzi huu maalumu kwa sisi wapenda bata hata kama vyuma vimekaza, tunapambana na hali zetu na bata kama kawaida.
Sitaanza kwa kutaja kiwanja chochote kwa sasa, isionekane nafanya promo kwa yeyote, nawaachia nafasi, kutaja viwanja/Bar/Pub/Club ambazo kwa sasa zinabamba kwa huduma nzuri na bomba za Music, vinywaji, na maakuli, karibuni sana sana !!
Uzi huu maalumu kwa sisi wapenda bata hata kama vyuma vimekaza, tunapambana na hali zetu na bata kama kawaida.
Sitaanza kwa kutaja kiwanja chochote kwa sasa, isionekane nafanya promo kwa yeyote, nawaachia nafasi, kutaja viwanja/Bar/Pub/Club ambazo kwa sasa zinabamba kwa huduma nzuri na bomba za Music, vinywaji, na maakuli, karibuni sana sana !!