Mzigua90
JF-Expert Member
- Sep 23, 2014
- 38,342
- 88,625
Tutakutana inshallahI wish one day nitkutsns weewe inshallah
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tutakutana inshallahI wish one day nitkutsns weewe inshallah
Kesho njoo master club kwa wahengaHamna bwana kawaida tu kama kwingine
Panazidi kubamba tuu..
Pale kwa wazee bendi yao siilewagi kama sijalewa. Nina rafiki zangu ndo wananiletaga pale ila mwenyewe siez paenda maana ntaonekana nawafuata wastaafu [emoji23][emoji23][emoji23]Kesho njoo master club kwa wahenga
Embu tuacheni wenzenu tuenjoy. Toka nisikie panafungiwa ni muda kweliMuda si mrefu watafungiwa sababu wanatupigia makelele sisi majirani...
Ahahaa Rrondo ananiambiaga namendea wazee pale.napenda sana nyimbo za wahengaPale kwa wazee bendi yao siilewagi kama sijalewa. Nina rafiki zangu ndo wananiletaga pale ila mwenyewe siez paenda maana ntaonekana nawafuata wastaafu [emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] na kweli pale kwa henga.Ahahaa Rrondo ananiambiaga namendea wazee pale.napenda sana nyimbo za wahenga
Pale vijana hampawezi pale na target[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] na kweli pale kwa henga.
mbona unacheza tu pale, uki angle nzuri unasimama unajiachia tu....Dj akinigusa nilikua sijibani aisee nasimama nachezaa [emoji1]Usijaribu kabisa yani. Aema Tips sichezagi naonaje sijui
Wabongo bhana! Wakibanana kwenye dala dala wanalalamika, wakibanana kwenye viwanja vya starehe, wanaburudika!vile tunavyobanana ndo pananoga ujue. Ukienda sehemu lieneo likuuubwa hata mnakaa hambanani banani bwana
Target napapenda hasa ile bendi ya mzee wa kitambaa cheupe. Wangejitahidi wapunguze wale mbu sasa. Njoo basi Golden J leo mpenzi. Au kama utakua target ntakuja kucheza mzikiPale vijana hampawezi pale na target
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]. Ndo binadamu tulivyo mkuu.Wabongo bhana! Wakibanana kwenye dala dala wanalalamika, wakibanana kwenye viwanja vya starehe, wanaburudika!
Ke mkuuKE au ME? kama KE.....tuwasiliane tupenae kampani...round tatu za drinks juu yangu leo
Wewe utakuwa unapenda sehemu za fujo fujo.nitakucheki saa moja.Target napapenda hasa ile bendi ya mzee wa kitambaa cheupe. Wangejitahidi wapunguze wale mbu sasa. Njoo basi Golden J leo mpenzi. Au kama utakua target ntakuja kucheza mziki
Kiko wapi hiko kiwanja mkuu?Nenda See Creef kale upepo.