Tujuzane sehemu za bata zinazobamba kwa sasa Dar

Tujuzane sehemu za bata zinazobamba kwa sasa Dar

Salaam wakuu,

Uzi huu maalumu kwa sisi wapenda bata hata kama vyuma vimekaza, tunapambana na hali zetu na bata kama kawaida.

Sitaanza kwa kutaja kiwanja chochote kwa sasa, isionekane nafanya promo kwa yeyote, nawaachia nafasi, kutaja viwanja/Bar/Pub/Club ambazo kwa sasa zinabamba kwa huduma nzuri na bomba za Music, vinywaji, na maakuli, karibuni sana sana !!
Mjini bana...eti kuna mpaka sehemu maalumu za bata..wakati huku kwetu ni wakitoka tuu bandani wanazurura zurura popote pale
 
Pale kwa wazee bendi yao siilewagi kama sijalewa. Nina rafiki zangu ndo wananiletaga pale ila mwenyewe siez paenda maana ntaonekana nawafuata wastaafu [emoji23][emoji23][emoji23]

Lewa halafu uje na leo
 
Back
Top Bottom