Tujuzane sehemu za bata zinazobamba kwa sasa Dar

Tujuzane sehemu za bata zinazobamba kwa sasa Dar

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]. Itakua. Ndo maana nakuta wakaka wanatoka mbezi sinza wanakuja kunywa Goba. Kumbe wana yao moyoni
Kuna kitu cha hatare pale anauza popcorn yule Dada sio mchezo
 
Governor Na four ways si nasikia Kaka Hapi kapafungia as alivyopafunga kona bar ........!!!?
 
Kuna kitu cha hatare pale anauza popcorn yule Dada sio mchezo
mixer ya pombe na popcorn ni nuksi tupu ila watu tumekazana tu!
wengine tumeacha kwenda na ma manzi zetu pale tusije kuzua mengine bure..
 
Back
Top Bottom