Khalifavinnie
JF-Expert Member
- May 19, 2017
- 2,796
- 2,367
Bata zipo kwa wingi na zinabamba hasa vingunguti.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kiwanja changu La stanza......Tips
Havoc
Bucket
Truth
Golden J wameanza kujirudisha tena
Elements
Hangover (sio sana)
La Stanza - Goba
Masaki dearElement ni ile ya sinza?
Tutakupambana tu. Ila Elements kumenigeukia kushoto kweli.Ishakuwa ijumaa Leo, nahisi kukutana viwanjani na warembo wa humu ndani japo hatujuani
Unafata tu popcorn weweKiwanja changu La stanza......
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]. Itakua. Ndo maana nakuta wakaka wanatoka mbezi sinza wanakuja kunywa Goba. Kumbe wana yao moyoniUnafata tu popcorn wewe
Kuna kitu cha hatare pale anauza popcorn yule Dada sio mchezo[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]. Itakua. Ndo maana nakuta wakaka wanatoka mbezi sinza wanakuja kunywa Goba. Kumbe wana yao moyoni
Na wanaume wanavyopenda neema za Allah sasaKuna kitu cha hatare pale anauza popcorn yule Dada sio mchezo
Hivi ni mtz au kitu ya Rwanda ile..me mwenyewe nakulaga popcorn sana .nampenda sana.ningekuwa na kaka ningemtolea mahariNa wanaume wanavyopenda neema za Allah sasa
mixer ya pombe na popcorn ni nuksi tupu ila watu tumekazana tu!Kuna kitu cha hatare pale anauza popcorn yule Dada sio mchezo
Ahahaamixer ya pombe na popcorn ni nuksi tupu ila watu tumekazana tu!
wengine tumeacha kwenda na ma manzi zetu pale tusije kuzua mengine bure..
Governers papo bwanaGovernor Na four ways si nasikia Kaka Hapi kapafungia as alivyopafunga kona bar ........!!!?
Tukutane Tips ,by SAA tatu niko hapoleo Tips kesho La Stanza
Palifungwa pamefunguliwaGoverners papo bwana
OkayPalifungwa pamefunguliwa
poa mkuu.Tukutane Tips ,by SAA tatu niko hapo