Tujuzane sehemu za bata zinazobamba kwa sasa Dar

Tujuzane sehemu za bata zinazobamba kwa sasa Dar

Governor Na four ways si nasikia Kaka Hapi kapafungia as alivyopafunga kona bar ........!!!?
kona baa yenyewe ipo hewani kama kawa...
wengine ndio hupata supu hapo asubuhi tukiwa tumetoka kwenye mikesha
 
Tips
Havoc
Bucket
Truth
Golden J wameanza kujirudisha tena
Elements
Hangover (sio sana)
La Stanza - Goba
Naomba maelekezo kufika hivyo viwanja vitatu hapo juu yaani Tips, Havoc na Bucket. Mimi mgeni kdg dar.
 
poa mkuu.
mi naendaga mida ya saa 5 hivi...hiyo saa 3 nakuwa nakula na kushtua damu kidogo kitaa kichwa kikae vizuri
Muda huo utanikuta,pale mie sebuleni hata Mtoto akilia hm ,naitwa tu ,njoo mwana tukionana nakupa ofa mkuu,tupige story
 
Target napapenda hasa ile bendi ya mzee wa kitambaa cheupe. Wangejitahidi wapunguze wale mbu sasa. Njoo basi Golden J leo mpenzi. Au kama utakua target ntakuja kucheza mziki
Golden J na Target zipo wapi? Nataka niende huko leo jioni
 
Back
Top Bottom