Mzigua90
JF-Expert Member
- Sep 23, 2014
- 38,342
- 88,625
Mtanifanya na mie nianzie Tips kabla ya kwenda Golden J kumchek ndege mnanaTukutane Tips ,by SAA tatu niko hapo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mtanifanya na mie nianzie Tips kabla ya kwenda Golden J kumchek ndege mnanaTukutane Tips ,by SAA tatu niko hapo
njoo tabata wewe mtoto ule bataTips
Havoc
Bucket
Truth
Golden J wameanza kujirudisha tena
Elements
Hangover (sio sana)
La Stanza - Goba
kona baa yenyewe ipo hewani kama kawa...Governor Na four ways si nasikia Kaka Hapi kapafungia as alivyopafunga kona bar ........!!!?
Naomba maelekezo kufika hivyo viwanja vitatu hapo juu yaani Tips, Havoc na Bucket. Mimi mgeni kdg dar.Tips
Havoc
Bucket
Truth
Golden J wameanza kujirudisha tena
Elements
Hangover (sio sana)
La Stanza - Goba
ndege mnana Linah ama??Mtanifanya na mie nianzie Tips kabla ya kwenda Golden J kumchek ndege mnana
Muda huo utanikuta,pale mie sebuleni hata Mtoto akilia hm ,naitwa tu ,njoo mwana tukionana nakupa ofa mkuu,tupige storypoa mkuu.
mi naendaga mida ya saa 5 hivi...hiyo saa 3 nakuwa nakula na kushtua damu kidogo kitaa kichwa kikae vizuri
Totoz zipo?Tips
Havoc
Bucket
Truth
Golden J wameanza kujirudisha tena
Elements
Hangover (sio sana)
La Stanza - Goba
Tips ni lukuredi street, regent km ilikua unapajua benchmark production umefikaNaomba maelekezo kufika hivyo viwanja vitatu hapo juu yaani Tips, Havoc na Bucket. Mimi mgeni kdg dar.
Hakujawahi kukosekana totoz mkuu hela yako tuuTotoz zipo?
Golden J na Target zipo wapi? Nataka niende huko leo jioniTarget napapenda hasa ile bendi ya mzee wa kitambaa cheupe. Wangejitahidi wapunguze wale mbu sasa. Njoo basi Golden J leo mpenzi. Au kama utakua target ntakuja kucheza mziki
Huko mbali bwananjoo tabata wewe mtoto ule bata
Aiseee.. Tips ipo mikocheni karibu na shule sunrise au kontenaNaomba maelekezo kufika hivyo viwanja vitatu hapo juu yaani Tips, Havoc na Bucket. Mimi mgeni kdg dar.
Yeees. Atakua Golden J leo na band pia na hakuna entrance feendege mnana Linah ama??
hakuna palipo bali bhana,dra hii panafikika kote,Huko mbali bwana
Golden J na Target ziko mbezi beachGolden J na Target zipo wapi? Nataka niende huko leo jioni
Mie mvivu wa kuzurura yani nikija kunywa tabata kabla sijafika hata ubungo pombe yote itakua imekatahakuna palipo bali bhana,dra hii panafikika kote,
Dah yule dada acha kabisa aisee bonge la shepu anaitwa VictoriaYule Dada wa popcorn la stanza bado yupo?
Governers papo bwana