Tujuzane sehemu za bata zinazobamba kwa sasa Dar

Tujuzane sehemu za bata zinazobamba kwa sasa Dar

Maisha kwa ujumla ndo pa kujifunzia starehe. Nimeanza starehe kwa kwenda maisha mwaka 2011 hiyo
kabisa yani..
wengine tulikuwa tukienda asubuhi ikifika unajikuta umebaki na jero tu..unaanza kula mguu kupunguza kimwendo mpk ufike eneo unaloweza panda basi moja tu ili ufike home!
 
kabisa yani..
wengine tulikuwa tukienda asubuhi ikifika unajikuta umebaki na jero tu..unaanza kula mguu kupunguza kimwendo mpk ufike eneo unaloweza panda basi moja tu ili ufike home!
[emoji23][emoji23]
 
Leo kiwanja gani naweza sikiliza flashback, old skulls mwanzo mwisho nikaenjoy to the maximum?
 
kabisa yani..
wengine tulikuwa tukienda asubuhi ikifika unajikuta umebaki na jero tu..unaanza kula mguu kupunguza kimwendo mpk ufike eneo unaloweza panda basi moja tu ili ufike home!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] daah af starehe za kuunga unga huaga znanoga, hapo home b mkubwa amebana kwenye kona na mkanda wake ukirud kipigo [emoji23][emoji23][emoji23]
 
Back
Top Bottom