Ndesalee
JF-Expert Member
- Apr 17, 2014
- 1,092
- 520
Tips ipo wapi hiyo.?!Naendaga Tips mara nyingi ila leo ntakua Golden J
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tips ipo wapi hiyo.?!Naendaga Tips mara nyingi ila leo ntakua Golden J
Iko reagent estateTips ipo wapi hiyo.?!
Usijaribu kabisa yani. Aema Tips sichezagi naonaje sijui
Kumbe mitaa ya kwa Baba Ridhi Moko kwa zamani. Nitadaka ubber leo nijivinjari huko..Iko reagent estate
Ukidaka uber huwezi poteaKumbe mitaa ya kwa Baba Ridhi Moko kwa zamani. Nitadaka ubber leo nijivinjari huko..
Shikamoo [emoji85][emoji15][emoji15][emoji15][emoji15]
Shikamoo [emoji85]
Sisi wengine ni wa kuingia na kutoka Dar kwahiyo maelekezo zaidi ya wapi hizo sehumu zipo yanahitajika ili tule bata tunapokuwa DarTips
Havoc
Bucket
Truth
Golden J wameanza kujirudisha tena
Elements
Hangover (sio sana)
La Stanza - Goba
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] sasa ili nisicheze huwa najicontrol pombe isiingie kichwani. Mimi pombe ikiwa kichwani nikasikia mziki hata mbele ya baba mkwe nachezaHiyo kitu ya kushuka club debe zinaita huku nimekaa tu napiga story siiwezi kabisa. Mwili wangu hautakubali kabisa. Hongera zako.
Mkuu hii ni muhimu sana hata kwa sisi wa Dar, sometimes tunakinai maeneo, so we need new taste and experience !!Sisi wengine ni wa kuingia na kutoka Dar kwahiyo maelekezo zaidi ya wapi hizo sehumu zipo yanahitajika ili tule bata tunapokuwa Dar
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] sasa ili nisicheze huwa najicontrol pombe isiingie kichwani. Mimi pombe ikiwa kichwani nikasikia mziki hata mbele ya baba mkwe nacheza
Sishindwi eti. Pombe zangu ni weka mbali na mziki.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]unakata viuno mbele ya baba mzaa chema
Kinondoni mkuu ipo vizuriGovernor nyingine ipo Kampala pako bomba kinyama. Kumbe na dar ipo sehemu gani mana nikirudi toka uku Mtumpweshi nije kusuuza macho
Nipo kwa John hapa karibu na Golden JMpo wapi mi nipo kitandani
Viwanja vyako vya home haya mm natokaje huku nanjilinji kuja hukoGolden J na Target ziko mbezi beach
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Shosti Nina shida ya laki tatu jamani nikopeshe narudisha jtatu humu nisiporudisha nitangaze
Hivi karibu na kwangu ndo maana sipati uvivu kuja.Viwanja vyako vya home haya mm natokaje huku nanjilinji kuja huko