Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Thanks.Golden J na Target ziko mbezi beach
hahahah kumbe unaishi karibu kabisa??Muda huo utanikuta,pale mie sebuleni hata Mtoto akilia hm ,naitwa tu ,njoo mwana tukionana nakupa ofa mkuu,tupige story
Cjawahi kukosa totoz tipsTotoz zipo?
ok...ila kule nako mbaliii.Yeees. Atakua Golden J leo na band pia na hakuna entrance fee
Bila shaka utakua unakaa ukanda wa wilaya ya kinondoni tena nahisi mbezi beach maana umetaja viwanja vya ukanda huo tu sijaona ukivitaja viwanja vya temeke,ukonga au tabata[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]. Itakua. Ndo maana nakuta wakaka wanatoka mbezi sinza wanakuja kunywa Goba. Kumbe wana yao moyoni
Mie utanikuta,naanziaga contena kwa Rasta kisha tips ,njoo tule kamshangehahahah kumbe unaishi karibu kabisa??
poa mkuu tuombe uhai nitakuwepo hapo
naonaga maisha basement ni kwa wanaojifunza stareheElement
Club next door
Yatch club
High spirit
Kwetu pazuri
Club sun set
Maisha basement (sipapendagi tho.)
Four ways
haina noma mkuuMie utanikuta,naanziaga contena kwa Rasta kisha tips ,njoo tule kamshange
Njoo best, huko Golden J tutaenda wote [emoji12]Mtanifanya na mie nianzie Tips kabla ya kwenda Golden J kumchek ndege mnana
Temeke iko liquidBila shaka utakua unakaa ukanda wa wilaya ya kinondoni tena nahisi mbezi beach maana umetaja viwanja vya ukanda huo tu sijaona ukivitaja viwanja vya temeke,ukonga au tabata
Nakuja nikutafute.Naendaga Tips mara nyingi ila leo ntakua Golden J
Hapo wanaenda watoto,mkuu acha na joints za watotonaonaga maisha basement ni kwa wanaojifunza starehe
najua fika mkuu ndio maana nikaamua kuisema hapaHapo wanaenda watoto,mkuu acha na joints za watoto
Maisha kwa ujumla ndo pa kujifunzia starehe. Nimeanza starehe kwa kwenda maisha mwaka 2011 hiyonaonaga maisha basement ni kwa wanaojifunza starehe
777 hata mie binti nisie wa zamani sana napaenda. Hata last weekend nilikua hapo.Vijana wa zamani kiwanja chetu ni Triple Seven Mikocheni. Hapo utakutana na wale Wasichana wa zamani na kuongea kizamani kwa mtindo wa kisasa