Wewe pia viwanja hivyo ni mhudhuriaji???Tips
Havoc
Bucket
Truth
Golden J wameanza kujirudisha tena
Elements
Hangover (sio sana)
Naendaga Tips mara nyingi ila leo ntakua Golden JWewe pia viwanja hivyo ni mhudhuriaji???
Tips Lounge eeeh!Tips
Havoc
Bucket
Truth
Golden J wameanza kujirudisha tena
Elements
Hangover (sio sana)
Panazidi kubamba tuu..Tips Lounge eeeh!
nimepaMiss aisee
watanue eneo ss maana...Panazidi kubamba tuu..
vile tunavyobanana ndo pananoga ujue. Ukienda sehemu lieneo likuuubwa hata mnakaa hambanani banani bwanawatanue eneo ss maana...
hahaha kuna kaukweli hapo,vile tunavyobanana ndo pananoga ujue. Ukienda sehemu lieneo likuuubwa hata mnakaa hambanani banani bwana
Sema mi sikaagi sana ila napenda mziki wake. Washkaji zangu wa mjini ndo kama tunaambizana tuende wote hapohahaha kuna kaukweli hapo,
na vile watu wengi kila group story zake....hali ya hewa nzuri na mziki mzuri aisee!!
sio ajabu ukashangaa hadi saa nane mpo tu kama saa mbili vile [emoji23][emoji28][emoji23]
I wish one day nitkutsns weewe inshallahNaendaga Tips mara nyingi ila leo ntakua Golden J
sema tu mi mgen hapa Dar i nielekezeni wapi wenye grisi zao wanajivinjari!Salaam wakuu,
Uzi huu maalumu kwa sisi wapenda bata hata kama vyuma vimekaza, tunapambana na hali zetu na bata kama kawaida.
Sitaanza kwa kutaja kiwanja chochote kwa sasa, isionekane nafanya promo kwa yeyote, nawaachia nafasi, kutaja viwanja/Bar/Pub/Club ambazo kwa sasa zinabamba kwa huduma nzuri na bomba za Music, vinywaji, na maakuli, karibuni sana sana !!
Golden j bna ghali sanaTips
Havoc
Bucket
Truth
Golden J wameanza kujirudisha tena
Elements
Hangover (sio sana)
unajua kucheza ss huo mziki?[emoji1]Sema mi sikaagi sana ila napenda mziki wake. Washkaji zangu wa mjini ndo kama tunaambizana tuende wote hapo
Usijaribu kabisa yani. Aema Tips sichezagi naonaje sijuiunajua kucheza ss huo mziki?[emoji1]
Naendaga Tips mara nyingi ila leo ntakua Golden J
Hamna bwana kawaida tu kama kwingineGolden j bna ghali sana