Miss Natafuta
JF-Expert Member
- Sep 16, 2015
- 27,031
- 49,928
Mimi sinywi pombe .hizo sehemu zina mziki mzuri sometimes live band mkuu zinatoa stressKuna watu wa bata kweli kweli humu hivi hayo maeneo entrance fee Tsh ngapi na Local beer zinauzwaje wengine tuko Kibiti huku
Ni kweli mkuu,ila watumiaji watuambie kama kiingilio ni kiasi gani,local beers,misosi na vitu kama dompo hivi.Tusije tukaenda na budget ya kichovu tukaadhirika.Mimi sinywi pombe .hizo sehemu zina mziki mzuri sometimes live band mkuu zinatoa stress
Elf 30 unasurvive kabisa mkuuNi kweli mkuu,ila watumiaji watuambie kama kiingilio ni kiasi gani,local beers,misosi na vitu kama dompo hivi.Tusije tukaenda na budget ya kichovu tukaadhirika.
Kilimani pub Kimara temboni jmos mara nyingi wanakuwa no promo ya windhok, vp mitaa ya Denfrancee Sinza, bado panabamba?
Sikuwahi dhania hii kitu aiseeMimi sinywi pombe .hizo sehemu zina mziki mzuri sometimes live band mkuu zinatoa stress
Mkuu upo?hivi Emil's namanga bado pana kiki?Sikuwahi dhania hii kitu aisee
Hapo bado mafuvu anapiga muziku?Denfrancee kwa chakula tuu nawakubali, ile mbuzi na kuku choma duuuh
aisee hata sifahamu mkuuMkuu upo?hivi Emil's namanga bado pana kiki?
nilijuaga jamaa kashastaafuHapo bado mafuvu anapiga muziku?
Inawezekana simsikii kbs,nilijuaga jamaa kashastaafu
mimi mwenyewe sijamsikia kitambo kweliInawezekana simsikii kbs,
utalala hukuuMie mvivu wa kuzurura yani nikija kunywa tabata kabla sijafika hata ubungo pombe yote itakua imekata
Ujisifu umepata demu wa bure bure eehutalala hukuu
Truth napapenda sanaTips
Havoc
Bucket
Truth
Golden J wameanza kujirudisha tena
Elements
Hangover (sio sana)
La Stanza - Goba
Ukitaka kuoa hapa lazima ujiulize mara mbiliTips
Havoc
Bucket
Truth
Golden J wameanza kujirudisha tena
Elements
Hangover (sio sana)
La Stanza - Goba
Ukimaliza kujiuliza kunywa maji mwananguUkitaka kuoa hapa lazima ujiulize mara mbili
Mi sipapendi. Nimeeenda mara 3 ila bado hakuniingii japo pazuri.Truth napapenda sana
Ukimaliza unapotezea kimyakimya[emoji1] [emoji1] [emoji1]Ukimaliza kujiuliza kunywa maji mwanangu
[emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2]. Kwenda huko sio mbaya ujue. Na hata mtu awe anaamka na kulalia huko akikupenda anaacha bila wewe kumwambia aache. Mi ntaacha nikimpata wangu sasa hivi namalizia malizia 20's.Ukimaliza unapotezea kimyakimya[emoji1] [emoji1] [emoji1]