Lazaroj
JF-Expert Member
- Aug 10, 2015
- 1,451
- 1,050
Kazana kula ujana,sie wahenga[emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2]. Kwenda huko sio mbaya ujue. Na hata mtu awe anaamka na kulalia huko akikupenda anaacha bila wewe kumwambia aache. Mi ntaacha nikimpata wangu sasa hivi namalizia malizia 20's.