Mngemwambia ukweli tu kuwa kinywaji alichoagiza bei yake ni kubwaTulifika pale tukiwa wanne. kulingana na vyuma kukaza tukaona tukinywa bia tutatoboka ile mbaya tukaamua kuagiza Black Lebel Chupa. e bwanae kunamdada moja akatokea anafahamiana na rafiki yetu moja. Alikaribishwa whisky akakataa basi mwenyeji wake akamwambia aagize anacho kunywa. huwezi amini mwanadada aliagiza wine chupa ambayo bei yake ni laki 1. ilibidi kwanza tuitane pembeni. alipoagiza ya pili pozi likaanza kutuishia, mi nikaanza na kusikia usingizi....
Haka kamchezo ka kuzungusha raundi bado kapo[emoji3][emoji3]Nani yuko 40/40 Tabata sasa hv tujuzane tuzungushe round
Ni mnyonge sana weweEneo langu la kula bata ni pale manzese darajani. Huwa natulia pale na vikaranga vyangu viwili vya mia mia nakula weeee huku napunga upepo,vikiisha nashuka zangu taratibu ili nisijikwae kuelekea home
hahahaha!Wala bata wana kazi,Kiwanja kikibamba utasikia hata mpiga bia mbagala kibonde maji leo yuko Kuala Lumpar,Mara London Lounge External,mara Lacassa ,mara Mikassa,mara Blue pub....monde balaaa
Tips
Havoc
Bucket
Truth
Golden J wameanza kujirudisha tena
Elements
Hangover (sio sana)
La Stanza - Goba
Sawa nini aunt??sawa
Nimeelewa..Sawa nini aunt??
Karibu maison
Babu namimi uje unipeleke kiwanja jamaniHii kali ya kufungia mwaka...
Fanya hima. Ila uje without kabisa
Sasa mtajuana vp kwa mfanoI wish one day nitkutsns weewe inshallah