Tujuzane tunaoteseka na Mikopo

Wakopaji ni risk takers na risk takers wengi ndio wamefanikiwa. Ninafuraha sana kuwa mkopaji nzuri wa mabank na sijawahi kuziangusha wala mikopo haijawahi kuniangusha. Leo nimetoka kuprocess mwingine dhamana nyumba iliyotokana na mikopo.

Sent from my TECNO BA2 using JamiiForums mobile app
 
Umepataje mkopo kwa dhamana ya nyumba?
 
Mikopo ni majanga kama utaenda kuzika pesa.

#MaendeleoHayanaChama
 
Kaka nyamaza hiyo Million 9 mbona cha mtoto watu wanadaiwa millions 42


Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] hapa nilipo badaiwa kama milioni 70 hivi na usheee alafu hata sielewi
Jamani mikopo mitamu ila kuilipa sasa salary slip ikija ni huzuni unalia kimya kimya [emoji1787][emoji1787]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…