chizcom
JF-Expert Member
- Jul 31, 2016
- 8,680
- 18,035
Wanasema ukisikia mwenzanko kanyolewa na wewe weka maji kichwa chako upate kunyolewa.
Hali si nzuri huko kuanzia boda yetu na Zambia.
Nasikia wachina washaanza kufunga virago wengine sijui walijiona wananchi wachinazambia.
Tujuzane huko kinachoendelea.
Hali si nzuri huko kuanzia boda yetu na Zambia.
Nasikia wachina washaanza kufunga virago wengine sijui walijiona wananchi wachinazambia.
Tujuzane huko kinachoendelea.