Tujuzane yanayoendelea baada ya Uchaguzi wa Zambia 2021

chizcom

JF-Expert Member
Joined
Jul 31, 2016
Posts
8,680
Reaction score
18,035
Wanasema ukisikia mwenzanko kanyolewa na wewe weka maji kichwa chako upate kunyolewa.

Hali si nzuri huko kuanzia boda yetu na Zambia.

Nasikia wachina washaanza kufunga virago wengine sijui walijiona wananchi wachinazambia.

Tujuzane huko kinachoendelea.
 
Si rahisi sana, baada ya muda hali itatulia na maisha yataendelea. Kuiondoa Zambia mikononi mwa Wachina hakuwezi kutokea ghafla usiku mmoja, ni process ndefu kidogo.

Wachina wanafanya nini huko
 
Zinapigwa risasi hapa border ni hatari sana wao kwa wao
 
Leteni taarifa kamili basi...siyo kila mtu yupo Tunduma
 
Sisi tulie na tume pamoja na katiba mpya
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…