Si rahisi sana, baada ya muda hali itatulia na maisha yataendelea. Kuiondoa Zambia mikononi mwa Wachina hakuwezi kutokea ghafla usiku mmoja, ni process ndefu kidogo.
Wachina wanafanya nini Bongo? Bagamoyo port wamepewa. RIP MagufuliWachina wanafanya nini huko
Ni kama kuwaondoa Wahindi Mwanza au Kisutu!Si rahisi sana, baada ya muda hali itatulia na maisha yataendelea. Kuiondoa Zambia mikononi mwa Wachina hakuwezi kutokea ghafla usiku mmoja, ni process ndefu kidogo.
Sisi tulie na tume pamoja na katiba mpyaWanasema ukisikia mwenzanko kanyolewa na wewe weka maji kichwa chako upate kunyolewa.
Hali si nzuri huko kuanzia boda yetu na Zambia.
Nasikia wachina washaanza kufunga virago wengine sijui walijiona wananchi wachinazambia.
Tujuzane huko kinachoendelea.
CCM haitang’olewa hapa maana Rais appoints everyone. Hata NEC iko mikononi kwakeSisi tulie na tume pamoja na katiba mpya
Hivi katiba ya kazi gani? Vunja mwungano na kila mtu arudi kwaoSisi tulie na tume pamoja na katiba mpya