Tujuze mifumo ya Tehama unayotumia kuendesha biashara yako kisasa na kudhibiti wizi

Tujuze mifumo ya Tehama unayotumia kuendesha biashara yako kisasa na kudhibiti wizi

africatuni

Member
Joined
Nov 13, 2023
Posts
69
Reaction score
169
Habarini za wakati huu wana jamvi. Hope this article finds you in a good mood!

Leo natamani sana kufahamu mifumo hasa ya kitehama (digital systems) ambayo unaitumia kurahisisha majukumu mbalimbali katika biashara yako au kuifanya biashara yako kidigitali. Biashara yoyote ile.

This is a call to every business leader out there, share with us please!! Mfumo wowote unaokurahisishia kazi zako ata kama ni manual.. ila ni mchakato ambao wafanyakazi wako ni lazima waufwate katika kutimiza majukumu yao.

Generally, natamani tupeane ujuzi kama vile; unatunzaje kumbukumbu zako za mauzo, matumizi, manunuzi n.k unaendeshaje restaurant au hoteli yako, nyumba ya wageni unaisimamiaje wafanyakazi wasikuibie, una handle vipi advertisement, unaduka la reja reja unamanage vp stock n.k inshort mifumo ambayo inapunguza biashara kunitegemea sana in a way kwamba nisipo kuwepo mambo yasikwame.

Binafsi natumia kuza business! Application ipo app store, Kutunza kumbu kumbu zangu za manunuzi, mauzo, matumizi na madeni. Ni one of the best apps I've seen, natamani ninge ifahamu mapema.. Ni user friendly anyone can use it. Inatoa analysis ya mwenendo wa biashara mf. Bidhaa gani inauzika sana, mwezi niliomake sana, mteja alieniungisha sana n.k Pia unaweza manage madeni kwa kuwakumbusha kwa Texts. Anyway unaweza ifatilia and see if it feets you! So katika hii section ya kutunza kumbukumbu nimenawa mikono i got my buddy!

20240203_123958.jpg


Naomba kuweka kalamu chini.. Jukwaa ni lenu ndugu zangu, kila kiongozi wa biashara shusha nondo chini apa namna unavyoendesha biashara yako na una swing vipi na utandawazi?

Thank you for your valuable time!
 
natumia kuza pia. ni best sana hii app developers wametisha sana hapa
 
natumia kuza pia. ni best sana hii app developers wametisha sana hapa
Sure!! They nailed it! 👏👏👏 wameweka basic tools tu, hakuna unnecessary advanced maths na terminology kama apps nyingine za finance.
 
Habarini za wakati huu wana jamvi. Hope this article finds you in a good mood!

Leo natamani sana kufahamu mifumo hasa ya kitehama (digital systems) ambayo unaitumia kurahisisha majukumu mbalimbali katika biashara yako au kuifanya biashara yako kidigitali. Biashara yoyote ile.

This is a call to every business leader out there, share with us please!! Mfumo wowote unaokurahisishia kazi zako ata kama ni manual.. ila ni mchakato ambao wafanyakazi wako ni lazima waufwate katika kutimiza majukumu yao.

Generally, natamani tupeane ujuzi kama vile; unatunzaje kumbukumbu zako za mauzo, matumizi, manunuzi n.k unaendeshaje restaurant au hoteli yako, nyumba ya wageni unaisimamiaje wafanyakazi wasikuibie, una handle vipi advertisement, unaduka la reja reja unamanage vp stock n.k inshort mifumo ambayo inapunguza biashara kunitegemea sana in a way kwamba nisipo kuwepo mambo yasikwame.

Binafsi natumia kuza business! Application ipo app store, Kutunza kumbu kumbu zangu za manunuzi, mauzo, matumizi na madeni. Ni one of the best apps I've seen, natamani ninge ifahamu mapema.. Ni user friendly anyone can use it. Inatoa analysis ya mwenendo wa biashara mf. Bidhaa gani inauzika sana, mwezi niliomake sana, mteja alieniungisha sana n.k Pia unaweza manage madeni kwa kuwakumbusha kwa Texts. Anyway unaweza ifatilia and see if it feets you! So katika hii section ya kutunza kumbukumbu nimenawa mikono i got my buddy!

View attachment 2911979


Naomba kuweka kalamu chini.. Jukwaa ni lenu ndugu zangu, kila kiongozi wa biashara shusha nondo chini apa namna unavyoendesha biashara yako na una swing vipi na utandawazi?

Thank you for your valuable time!
Naomba niulize swali, bidhaa ninazosambaza zinahitaji deliver note hati ya kusafirishia bidhaa je Kuza inauwezo wa kuchapisha deliver note?
 
Mimi natumia SmartBusiness, mbali ya kusimamia mauzo inaniwezesha kusimamia wateja ambao wanalipa kidogo kidogo baada ya kuchukua biadhaa, au ambao wanalipa kabla ya kuchukua bidhaa (advance deposits)
 

Attachments

  • Screenshot_20240527_215437_Google Play Store.jpg
    Screenshot_20240527_215437_Google Play Store.jpg
    81.6 KB · Views: 17
Habarini za wakati huu wana jamvi. Hope this article finds you in a good mood!

Leo natamani sana kufahamu mifumo hasa ya kitehama (digital systems) ambayo unaitumia kurahisisha majukumu mbalimbali katika biashara yako au kuifanya biashara yako kidigitali. Biashara yoyote ile.

This is a call to every business leader out there, share with us please!! Mfumo wowote unaokurahisishia kazi zako ata kama ni manual.. ila ni mchakato ambao wafanyakazi wako ni lazima waufwate katika kutimiza majukumu yao.

Generally, natamani tupeane ujuzi kama vile; unatunzaje kumbukumbu zako za mauzo, matumizi, manunuzi n.k unaendeshaje restaurant au hoteli yako, nyumba ya wageni unaisimamiaje wafanyakazi wasikuibie, una handle vipi advertisement, unaduka la reja reja unamanage vp stock n.k inshort mifumo ambayo inapunguza biashara kunitegemea sana in a way kwamba nisipo kuwepo mambo yasikwame.

Binafsi natumia kuza business! Application ipo app store, Kutunza kumbu kumbu zangu za manunuzi, mauzo, matumizi na madeni. Ni one of the best apps I've seen, natamani ninge ifahamu mapema.. Ni user friendly anyone can use it. Inatoa analysis ya mwenendo wa biashara mf. Bidhaa gani inauzika sana, mwezi niliomake sana, mteja alieniungisha sana n.k Pia unaweza manage madeni kwa kuwakumbusha kwa Texts. Anyway unaweza ifatilia and see if it feets you! So katika hii section ya kutunza kumbukumbu nimenawa mikono i got my buddy!

View attachment 2911979


Naomba kuweka kalamu chini.. Jukwaa ni lenu ndugu zangu, kila kiongozi wa biashara shusha nondo chini apa namna unavyoendesha biashara yako na una swing vipi na utandawazi?

Thank you for your valuable time!


Mkuu tunashukuru kwa bandiko lako. Ila kuna kuna shida kidogo kwenye picha hii ambayo nmeitoa p-store

az_recorder_20240528_080604_edited.jpg



Hesabu hapo naona haipo sawa, sasa hapa hakuna usalama wa biashara kama ktumizi chenyewe kinashindwa kupiga hesabu.
 
Back
Top Bottom