Tukatae Wakenya kusafiria passport zetu nchi za SADC

Tukatae Wakenya kusafiria passport zetu nchi za SADC

Huu ni uzushi usiokubaliana na mantiki .Haiwezekani mtu ambaye sio raia wa Tanzania kupewa passport ya Tanzania. Full stop.
 
hhhhhhh mkuu naomba unitumie ulichovuta kabla hujaandika hii mada.this Is not even logic
 

UMEKURUPUKA!
Ujinga mwingine huo, eti wakenya wapewe passport za Tanzania ili kuweza kusafiria nchi za SADC kirahisi.


Tukatae kwa nguvu zote na kama Rais wetu akikubaliana na huo ujinga tuhakikishe tunakataa kwa nia moja na kwa umoja.

Hiyo ni mojawapo ya ajenda zitakazojadiliwa na wafanyabiashara wa Kenya na Rais wetu.

Tunarudi kulekule tulikotoka ndugu zangu, tunapiga hatua moja mbele tunarudi hatua tatu nyuma.
 
Ujinga mwingine huo, eti wakenya wapewe passport za Tanzania ili kuweza kusafiria nchi za SADC kirahisi.

Tukatae kwa nguvu zote na kama Rais wetu akikubaliana na huo ujinga tuhakikishe tunakataa kwa nia moja na kwa umoja.

Hiyo ni mojawapo ya ajenda zitakazojadiliwa na wafanyabiashara wa Kenya na Rais wetu.

Tunarudi kulekule tulikotoka ndugu zangu, tunapiga hatua moja mbele tunarudi hatua tatu nyuma.
Mzee Mwinyi alisema aliposema ruksa kwa nia ya kufungua biashara ndipo uchafu mwingi ulipoingia " ukifungua dirisha upate hewa safi wataingia hadi inzi"

Wasiwasi wa wengi ni kivuli cha Msoga nyuma ya mama. Tumuombee ajisimamie, tumuamini yeye na vision yake.
 
Back
Top Bottom