Tukate mzizi wa fitina: Tunda na Lulu nani kisu zaidi?

Chinekeeeee hawafai kuwa wake ila kwa matumiz ya kawaida wanafaa sana
 
huyo tunda miguu na mapaja membamba yanamfelisha mbele ya lulu..

lulu mguuu wake unaendana na mapaja na mwili
 
Wote wazuri katika macho yako. ..kwa upande wangu lulu kamshinda tunda. .ubaya ni kua pua zao wote ni mbaya sana na la tunda ndiyo limezidi ubaya. ..afu vifupi mno vyote viwili ni viduchu. ..warudi shule wote wawili maana they are not photogenic. ..sorry!
 
Lulu jamani Luluu. Umemkosea heshima Lulu. Tena mtake radhi ndg yangu. Tunda bado saanaaa kwa Lulu. Namaanisha Lulu ni panga maana hata kwa level kisu ameiacha mbaliii.
 
Wee jamaa si bure kuna namna tunda atakuwa amekufanyia maana hakuishi mdomoni jaman. Ila me kwangu nampenda lulu kuliko tunda
 
Tu Define nini kuvutia?
Vigezo gani vya mtu kuvutia?
Then tujue
 
weka papuchii zao ndo nitapiga kura maana huko ndo yupo tunda na Lulu na suo hizo skrini sevaz
 
We hance mtanashati, hivi Tunda anakulipaga sh. Ngapi ukimpigia promo?

Au na ww uko kama uvccm ambao kila thread wanapewa buku 7?
[emoji35] [emoji35] [emoji35] [emoji35] [emoji35]
mkuu niunganishe na hao ulio wataja uv se se em na mi nianze kupata buku saba maana hali ni mbaya mno hakuna namna
 
mkuu niunganishe na hao ulio wataja uv se se em na mi nianze kupata buku saba maana hali ni mbaya mno hakuna namna
Ok, swali..

Je uba kadi ya chama(yani kadi ya cccm)?

Kama hauna inabidi unitumie 5000 ili nkufanyie mchakato wa kupata hiyo kadi.

Na baaamda ya kupata hyo kadi, itabidi ulipie tena 1000 ili tukusajili ktk system ya kupiga buku 7 daily
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…