Tukiachana na assist, ni kitu gani Chama anamzidi Fei Toto?

Kwa maoni yangu, anayetoa assist ni muhimu zaidi maana anatafunia watu wakameze kiulaini.

Hata ukiwa mmaliziaji mzuri ila hauna mtu wa kukupa mipira rahisi ya kuimalizia inakuwa ngumu kwako kumalizia.
 
We jamaa kweli kimichezo upo nyuma, huo ndio ulinganishi wakumpata mchezaji bora zaidi kwakuangalia matokeo ya league tena hata msimu haujaisha?!
Nakudharau kwa kumlinganisha Feasal kwa Chama. Kwa mpira wa kibongo bongo Chama ndiye bora kuliko Aziz na huyo dogo mbahatishaji Feasal
 
Kupitia hizo takwimu; nimegundua Chama ni kiungo konokono, halafu Fei Toto ni kiungo mnyumbulifu.
 
Toto Hata akikoseoana Yanga, hana impact.

Kwa kunisaidia asingeingia MB Jana. Kusingekuwa na goli
Lkn nadhani uliona jinsi fei alivyopambana mwanzo mwisho

Kwa upande wa Chama......huyu jamaa asipokuwepo .....timu haipo[emoji1]
 
Kila siku kumuanzishia CHAMA uzi tayari ana kitu special kuzidi hao mnaomlinganisha nae.
Yaaap mkuu ....Chama ni talented player ...that's y tunamwita the brain football wa simba
 
Chama ameshindikana
 
Daaah umetoa madini heavyweight .....ambayo yame oversized ubongo .....Hadi nmeshindwa kuya process

....hapa nmetoka empty kupata the best one[emoji1][emoji1]
 
Chama anachezesha team nzima na ana control mchezo mzima tempo ya game nk.. nadhani ushajua tofauti teyari hapo.
Je ubora wa timu anayochezesha umeupima vipi????

Assume akija yanga ....anaweza kuwa na ubora huo ??
 
Daaah umetoa madini heavyweight .....ambayo yame oversized ubongo .....Hadi nmeshindwa kuya process

....hapa nmetoka empty kupata the best one[emoji1][emoji1]
Nimekuelewa hapa mkuu
Yani kaongea utopolo mpk umeshindwa kujua nini anamaanisha πŸ˜€ πŸ˜€ πŸ˜€
 
Kwa nn muachane na assist? Tuanzie hapo kwanza
Kwa sababu ....aliyeshindwa kufunga akaamua kutoa asists

But

Aliyeshindwa kutoa asists akaamua kufunga mwenyewe
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…