Tukiachana na assist, ni kitu gani Chama anamzidi Fei Toto?

Tukiachana na assist, ni kitu gani Chama anamzidi Fei Toto?

Baada ya kufatilia uchezaji wa hawa miamba, Chama the brain football na feitoto aka KDB nmegundua jambo hili .......Kwa mpira wa kisasa feitoto ni Bora kuliko Chama

Takwimu zao
Chama....goal 2 but asists 7

Feitoto ....goal 5 but asists 5

Maoni: weka ushabiki kando.....takwimu ziongeeView attachment 2436617
Kwa maoni yangu, anayetoa assist ni muhimu zaidi maana anatafunia watu wakameze kiulaini.

Hata ukiwa mmaliziaji mzuri ila hauna mtu wa kukupa mipira rahisi ya kuimalizia inakuwa ngumu kwako kumalizia.
 
We jamaa kweli kimichezo upo nyuma, huo ndio ulinganishi wakumpata mchezaji bora zaidi kwakuangalia matokeo ya league tena hata msimu haujaisha?!
Nakudharau kwa kumlinganisha Feasal kwa Chama. Kwa mpira wa kibongo bongo Chama ndiye bora kuliko Aziz na huyo dogo mbahatishaji Feasal
 
Baada ya kufatilia uchezaji wa hawa miamba, Chama the brain football na feitoto aka KDB nmegundua jambo hili .......Kwa mpira wa kisasa feitoto ni Bora kuliko Chama

Takwimu zao
Chama....goal 2 but asists 7

Feitoto ....goal 5 but asists 5

Maoni: weka ushabiki kando.....takwimu ziongeeView attachment 2436617
Kupitia hizo takwimu; nimegundua Chama ni kiungo konokono, halafu Fei Toto ni kiungo mnyumbulifu.
 
Toto Hata akikoseoana Yanga, hana impact.

Kwa kunisaidia asingeingia MB Jana. Kusingekuwa na goli
Lkn nadhani uliona jinsi fei alivyopambana mwanzo mwisho

Kwa upande wa Chama......huyu jamaa asipokuwepo .....timu haipo[emoji1]
 
Kila siku kumuanzishia CHAMA uzi tayari ana kitu special kuzidi hao mnaomlinganisha nae.
Yaaap mkuu ....Chama ni talented player ...that's y tunamwita the brain football wa simba
 
Baada ya kufatilia uchezaji wa hawa miamba, Chama the brain football na feitoto aka KDB nmegundua jambo hili .......Kwa mpira wa kisasa feitoto ni Bora kuliko Chama

Takwimu zao
Chama....goal 2 but asists 7

Feitoto ....goal 5 but asists 2

Maoni: weka ushabiki kando.....takwimu ziongeeView attachment 2436617
Chama ameshindikana
 
Uwezi kufananisha kiungo mwenye speed ya konokono na kiungo mwenye uwezo wa kucheza juu na chini yaani kocha uta amua umpange wapi.
Ili uwafananishe jaribu siku Moja kwenye Mechi zinazo wakutanisha wote uwachezeshe namba sita.
Au chukua takwimu timu zao zikikutana Head to Head nani ni tishio.
Nenda kwenye umri wao alafu nenda kwenye soko ujue thamani Yao.
Kwa kifupi Ili iwe rahisi kawaulize makipa wa izo timu mchezaji gani ni hatari pindi zinapo kutana.
Daaah umetoa madini heavyweight .....ambayo yame oversized ubongo .....Hadi nmeshindwa kuya process

....hapa nmetoka empty kupata the best one[emoji1][emoji1]
 
Chama anachezesha team nzima na ana control mchezo mzima tempo ya game nk.. nadhani ushajua tofauti teyari hapo.
Je ubora wa timu anayochezesha umeupima vipi????

Assume akija yanga ....anaweza kuwa na ubora huo ??
 
Daaah umetoa madini heavyweight .....ambayo yame oversized ubongo .....Hadi nmeshindwa kuya process

....hapa nmetoka empty kupata the best one[emoji1][emoji1]
Nimekuelewa hapa mkuu
Yani kaongea utopolo mpk umeshindwa kujua nini anamaanisha 😀 😀 😀
 
Kwa nn muachane na assist? Tuanzie hapo kwanza
Kwa sababu ....aliyeshindwa kufunga akaamua kutoa asists

But

Aliyeshindwa kutoa asists akaamua kufunga mwenyewe
 
Back
Top Bottom