NetMaster
JF-Expert Member
- Sep 12, 2022
- 1,454
- 4,925
Ok, Nadhani kila mtu anajua kwamba Simba tayari wamewahi kumaliza ligi kwa kushika nafasi za chini na hata kunusurika mara nyingi kushuka daraja huku Yanga ikiwaokoa zaidi ya mara moja wasishuke .
Kuhusu Yanga hivi imewahi kutokea wamemaliza ligi wakiwa nje ya top three ?
Kuhusu Yanga hivi imewahi kutokea wamemaliza ligi wakiwa nje ya top three ?