Uchaguzi 2020 Tukielekea kwenye maandalizi ya Mdahalo wa wagombea tupitie hotuba zao walizowahi kuzitoa

Uchaguzi 2020 Tukielekea kwenye maandalizi ya Mdahalo wa wagombea tupitie hotuba zao walizowahi kuzitoa

Chakaza

JF-Expert Member
Joined
Mar 10, 2007
Posts
40,455
Reaction score
73,145
Kuna habari kuwa utaandaliwa mdahalo kabambe kuwakutanisha wagombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.


Ingawa mpaka sasa hajajulikana nani atakuwa muandazi lakini tunategemea kumfahamu mapema iwezekenavyo.

Wakati tunasubiri jambo hilo jema thread hii itakuwa special kwa mikusanyiko ya hotuba mbali mbali walizo wahi kutoa wagombea mahali mbali mbali mgano Bungeni, majukwaani au kwenye mikutano ya ndani.

Hii itatusaidia kuwapima uwezo wao wa kujieleza, umakini na hulka zao kwa ujumla. Unapokuwa Rais tayari wewe ni public property hivyo wanao kumiliki (wananchi) lazima wakuelewe.

Naanza kumuwela Tundu Lissu mgombea wa Chadema akiwa Bungeni.

 
Au labda mimi sijui maana ya mwekezaji. Tunahitaji wawekezaji weusi sio tu weupe.

Maneno mazito kutoka kwa mmoja wa wagombea mahiri kabisa.
Dr. Magufuli.
 
Mdahalo utakuwa baina ya Lisu na Membe ambao wote ni wamoja....

Yule mwingine anarudia kila kitu alichoongea 2015.

Kama si uwazi kwenye uchaguzi....huyu asiye na hoja angelikuwa kama Mutharika tu.
 
Hivi ilani ya 2015 ya ccm imetekelezwa kwa asilimia ngapi,,,?
 
Hivi ilani ya 2015 ya ccm imetekelezwa kwa asilimia ngapi,,,?
Yapo mafanikio mengi ambayo kampeni zikianza watayazungumza sana.
Mojawapo ni mafanikio ya KUOKOTA VICHWA VYA TRENI BANDARINI.
Hilo halijapata kutokea popote duniani zaidi ya hapa kwetu tena awamu ya tano
 
Back
Top Bottom