Uchaguzi 2020 Tukielekea kwenye maandalizi ya Mdahalo wa wagombea tupitie hotuba zao walizowahi kuzitoa

Uchaguzi 2020 Tukielekea kwenye maandalizi ya Mdahalo wa wagombea tupitie hotuba zao walizowahi kuzitoa

The bitter truth is that " Magufuli will lead the country for next 5 years"

Hizi ngonjera zenu Ni katika kujifurahisha tu, pia Lissu hafai hata kidogo kupewa madaraka ya urais!
Hahah daah umejibu kiupole sana.
 
Kuna habari kuwa utaandaliwa mdahalo kabambe kuwakutanisha wagombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.


Ingawa mpaka sasa hajajulikana nani atakuwa muandazi lakini tunategemea kumfahamu mapema iwezekenavyo.

Wakati tunasubiri jambo hilo jema thread hii itakuwa special kwa mikusanyiko ya hotuba mbali mbali walizo wahi kutoa wagombea mahali mbali mbali mgano Bungeni, majukwaani au kwenye mikutano ya ndani.

Hii itatusaidia kuwapima uwezo wao wa kujieleza, umakini na hulka zao kwa ujumla. Unapokuwa Rais tayari wewe ni public property hivyo wanao kumiliki (wananchi) lazima wakuelewe.

Naanza kumuwela Tundu Lissu mgombea wa Chadema akiwa Bungeni.


Unataka waweke hotuba inayoonesha mtu mzima na akili zake akiokota kichwa cha treni bandarini au?
 
ngoja niagizie na Pepsi moja ya baridi...maana hizi midaharo inatia mushkeri kweli kweli.
 
Back
Top Bottom