Tukifungwa hii mechi na kocha afukuzwe

Quality quality quality......


Unaleta wachezaji wa mtumba quality ya ya chini kabisa unamlaumu KOCHA.

Wataalamu wanasema 1-1
 
Asiondoke kwanza mpaka tucheze na Azam na Uto.
 
Kocha unamwanzishaje Sakho?
Unamwachaje Baleke nje?Unamsahau Phiri nje na unajidai huoni?!!

Mimi binafsi sina imani na makocha wazungu,ni wapumbavu sana
Waliomleta huyo mzungu ni waafrika kama wewe.
 
Ni tanzania pekee timu ikipoteza mchezo utawasikia mashabiki hatumtaki kocha.
Timu mbili hizo hazitakiwi kupoteza wala sare ni kosa la jinai,ujinga mtupu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…