Tukifuzu AFCON mechi ya leo nakunya kuanzia Mwenge hadi uwanja wa ndege

Yani hata uganda wakituachia lesotho watakaza tu washinde sisi tusishinde tu MUNGU saidia tupigwe tusiende popote kuna dhuluma na ushenzi mwingi ubaendelea nchi yetu tupigwe tu kabisa

Sawa tukishinda tutakudai mavi na ole wako utunyime hayo mavi
 
sijakuelewa! Fafanau tafadhali! Utakuwa unajinyea ndani ya nguo ama? Usije kituachia harufu mby SAM NUJOMA rd!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…