Tukifuzu AFCON mechi ya leo nakunya kuanzia Mwenge hadi uwanja wa ndege

Tukifuzu AFCON mechi ya leo nakunya kuanzia Mwenge hadi uwanja wa ndege

Bangi mbaya sana!!, eti tukifuzu AFCON utakunya kuanzia mwenge hadi uwanja wa ndege!!--- hayo mavi ya kunya njia nzima utayatoa wapi wakati lishe yako yenyewe ni matatizo kutokana na vyuma kukaza!!,😁😁😁.

Wabongo shida kweli, na bado kuna miaka mingine 5 ya shida, sasa sijui hali itakuaje??
😂😂😂😂😂😂😂
 
Tumeshaachiwa moja tayari, uganda ni waungwana sana.

Labda kina Okwi, juko na Wadada wamewaelewesha wenzao.
 
Mh jiandae kwa kula zile Dawa nyeusi za sokoni za kusafisha mafuta ili unye vizuri .Tushashinda mpaka dk kwa 1 dhidi Uganda.
 
Back
Top Bottom