Tukiibadilisha Gesi Asilia (CH4) iliyopatikana Tanzania kuwa Mbolea za kilimo tutainua uchumi wa nchi

Tukiibadilisha Gesi Asilia (CH4) iliyopatikana Tanzania kuwa Mbolea za kilimo tutainua uchumi wa nchi

Meneja Wa Makampuni

JF-Expert Member
Joined
Jul 7, 2020
Posts
7,899
Reaction score
10,415
MBOLEA zinazotumika Katika kilimo ni moja ya kemikali zinazozalishwa kwa kuibadilisha GESI ASILIA kuwa MBOLEA katika nchi zilizo endelea. Hivyo kilimo cha Tanzania kinaweza kufaidika sana kama tukianzisha kiwanda kikubwa cha kubadilisha GESI ASILIA kuwa MBOLEA.

Kwa mujibu wa ripoti ya Benki ya Dunia ya mwaka 2013, uchumi wa Tanzania unategemea kilimo kwa zaidi ya robo moja ya Pato la Taifa (27-32%). Kilimo kinatoa 85% ya bidhaa zinazosafirishwa nje ya nchi na kinaajiri 80% ya nguvukazi nchini.

Tanzania huaagiza 90% ya MBOLEA kutoka nje ya nchi, 10% iliyobaki huzalishwa ndani. Lakini pia, MBOLEA inayozalishwa ndani inafaa kwa udongo wenye tindikali (asidi) tu.

MBOLEA YA UREA ndio mbolea inayotumika zaidi nchini ikichukua zaidi ya 33% ya jumla mbolea zote nchini. Na matumizi ya mbolea yanazidi kupanda kila mwaka.

Kama tukianzisha kiwanda cha kuzalisha tani 2300 za AMMONIA kwa siku na tani 4000 za UREA kwa siku (sawa na tani milioni 1.3 za urea kwa mwaka), kiwango hiki kitaweza kukidhi mahitaji ya soko la ndani na kiasi cha mbolea inayobaki katika masoko ya kikanda na kimataifa. Mradi wa mbolea unaweza kufanikiwa katika uwekezaji mdogo tu.

Prosesi za kuibadilisha GESI ASILIA kuwa MBOLEA.

Hatua ya kwanza kabisa gesi asilia (CH4) itabadilishwa kuwa AMMONIA hapo kuna miungano mbalimbali ya kikemikali itafanyika kwa kutumia vichocheo. AMMONIA yenyewe ni mbolea tayari.

Baada ya hapo AMMONIA itabadilishwa kuwa MBOLEA YA UREA kwa kutumia miungano ya kikekimali.

Lakini pia kutoka kwenye AMMONIA tutafanya miungano mingine ya kikemikali kupata mbolea zifuatazo; AMMONIUM NITRATE (NA), AMMONIUM SULPHATE (SA), AMMONIUM PHOSPHATE (PA).

Kutoka kwenye AMMONIUM NITRATE (NA) tutafanya miungano ya kikemikali na kutapata mbolea ya CALCIUM AMMONIUM NITRATE (CAN).

Kutoka kwenye AMMONIUM PHOSPHATE (PA) tutapata mbolea ya MONOAMMONIUM PHOSPHATE (MAP), na DIAMMONIUM PHOSPHATE (DAP).

Jedwali hili hapa chini linaonyesha matumizi ya mbolea mbalimbali Tanzania.

mmexport1621849899984.png


Mchoro huu wa chini unaonyesha hatua za kuibadilisha GESI ASILIA kuwa MBOLEA ya AMMONIA.

mmexport1621849892697.png


Mchoro huu wa chini unaonyesha mbolea tutakazo zipata kutoka kwenye AMMONIA baada ya kufanya miungano mingine ya kikemikali.

mmexport1621849895919.png
 
Hakuna mtawala anaegusia kilimo labda huwezi pata kiki kupitia kilimo.

Kilimo ndio KILA kitu hata wakoloni waliinua uchumi wa nchi yetu kupitia kilimo.
 
Asilimia 90 ya mawazo mazuri ya kimaendeleo huwa yapo kwa vwatu wa kawaida.. Wale kule juu wapo wapo tu km mazuzuu ama misukule, vilivyopo wanaviharibu.

Usishangae wakenya watumia gesi hii hii wakatengeneza mbolea na kutuuzia.
Pili huwa na akili wakishatoka madarakani.Laiti kama watu wa kawaida wangeshirikishwa kwenye mipango ya maendeleo.

Wananchi ni masikini sababu awashirikishwi kwenye matumizi ya Kodi zao.
 
Ukianza kuorodhesha byproducts zinazopatikana kwenye mchakato wa kuchuja Mafuta na Gas asili ni industries nyingine nyingi mno.
 
MBOLEA zinazotumika Katika kilimo ni moja ya kemikali zinazozalishwa kwa kuibadilisha GESI ASILIA kuwa MBOLEA katika nchi zilizo endelea. Hivyo kilimo cha Tanzania kinaweza kufaidika sana kama tukianzisha kiwanda kikubwa cha kubadilisha GESI ASILIA kuwa MBOLEA.

Kwa mujibu wa ripoti ya Benki ya Dunia ya mwaka 2013, uchumi wa Tanzania unategemea kilimo kwa zaidi ya robo moja ya Pato la Taifa (27-32%). Kilimo kinatoa 85% ya bidhaa zinazosafirishwa nje ya nchi na kinaajiri 80% ya nguvukazi nchini.

Tanzania huaagiza 90% ya MBOLEA kutoka nje ya nchi, 10% iliyobaki huzalishwa ndani. Lakini pia, MBOLEA inayozalishwa ndani inafaa kwa udongo wenye tindikali (asidi) tu.

MBOLEA YA UREA ndio mbolea inayotumika zaidi nchini ikichukua zaidi ya 33% ya jumla mbolea zote nchini. Na matumizi ya mbolea yanazidi kupanda kila mwaka.

Kama tukianzisha kiwanda cha kuzalisha tani 2300 za AMMONIA kwa siku na tani 4000 za UREA kwa siku (sawa na tani milioni 1.3 za urea kwa mwaka), kiwango hiki kitaweza kukidhi mahitaji ya soko la ndani na kiasi cha mbolea inayobaki katika masoko ya kikanda na kimataifa. Mradi wa mbolea unaweza kufanikiwa katika uwekezaji mdogo tu.

Prosesi za kuibadilisha GESI ASILIA kuwa MBOLEA.

Hatua ya kwanza kabisa gesi asilia (CH4) itabadilishwa kuwa AMMONIA hapo kuna miungano mbalimbali ya kikemikali itafanyika kwa kutumia vichocheo. AMMONIA yenyewe ni mbolea tayari.

Baada ya hapo AMMONIA itabadilishwa kuwa MBOLEA YA UREA kwa kutumia miungano ya kikekimali.

Lakini pia kutoka kwenye AMMONIA tutafanya miungano mingine ya kikemikali kupata mbolea zifuatazo; AMMONIUM NITRATE (NA), AMMONIUM SULPHATE (SA), AMMONIUM PHOSPHATE (PA).

Kutoka kwenye AMMONIUM NITRATE (NA) tutafanya miungano ya kikemikali na kutapata mbolea ya CALCIUM AMMONIUM NITRATE (CAN).

Kutoka kwenye AMMONIUM PHOSPHATE (PA) tutapata mbolea ya MONOAMMONIUM PHOSPHATE (MAP), na DIAMMONIUM PHOSPHATE (DAP).

Jedwali hili hapa chini linaonyesha matumizi ya mbolea mbalimbali Tanzania.

View attachment 1796151

Mchoro huu wa chini unaonyesha hatua za kuibadilisha GESI ASILIA kuwa MBOLEA ya AMMONIA.

View attachment 1796152

Mchoro huu wa chini unaonyesha mbolea tutakazo zipata kutoka kwenye AMMONIA baada ya kufanya miungano mingine ya kikemikali.

View attachment 1796153
 
MBOLEA zinazotumika Katika kilimo ni moja ya kemikali zinazozalishwa kwa kuibadilisha GESI ASILIA kuwa MBOLEA katika nchi zilizo endelea. Hivyo kilimo cha Tanzania kinaweza kufaidika sana kama tukianzisha kiwanda kikubwa cha kubadilisha GESI ASILIA kuwa MBOLEA.

Kwa mujibu wa ripoti ya Benki ya Dunia ya mwaka 2013, uchumi wa Tanzania unategemea kilimo kwa zaidi ya robo moja ya Pato la Taifa (27-32%). Kilimo kinatoa 85% ya bidhaa zinazosafirishwa nje ya nchi na kinaajiri 80% ya nguvukazi nchini.

Tanzania huaagiza 90% ya MBOLEA kutoka nje ya nchi, 10% iliyobaki huzalishwa ndani. Lakini pia, MBOLEA inayozalishwa ndani inafaa kwa udongo wenye tindikali (asidi) tu.

MBOLEA YA UREA ndio mbolea inayotumika zaidi nchini ikichukua zaidi ya 33% ya jumla mbolea zote nchini. Na matumizi ya mbolea yanazidi kupanda kila mwaka.

Kama tukianzisha kiwanda cha kuzalisha tani 2300 za AMMONIA kwa siku na tani 4000 za UREA kwa siku (sawa na tani milioni 1.3 za urea kwa mwaka), kiwango hiki kitaweza kukidhi mahitaji ya soko la ndani na kiasi cha mbolea inayobaki katika masoko ya kikanda na kimataifa. Mradi wa mbolea unaweza kufanikiwa katika uwekezaji mdogo tu.

Prosesi za kuibadilisha GESI ASILIA kuwa MBOLEA.

Hatua ya kwanza kabisa gesi asilia (CH4) itabadilishwa kuwa AMMONIA hapo kuna miungano mbalimbali ya kikemikali itafanyika kwa kutumia vichocheo. AMMONIA yenyewe ni mbolea tayari.

Baada ya hapo AMMONIA itabadilishwa kuwa MBOLEA YA UREA kwa kutumia miungano ya kikekimali.

Lakini pia kutoka kwenye AMMONIA tutafanya miungano mingine ya kikemikali kupata mbolea zifuatazo; AMMONIUM NITRATE (NA), AMMONIUM SULPHATE (SA), AMMONIUM PHOSPHATE (PA).

Kutoka kwenye AMMONIUM NITRATE (NA) tutafanya miungano ya kikemikali na kutapata mbolea ya CALCIUM AMMONIUM NITRATE (CAN).

Kutoka kwenye AMMONIUM PHOSPHATE (PA) tutapata mbolea ya MONOAMMONIUM PHOSPHATE (MAP), na DIAMMONIUM PHOSPHATE (DAP).

Jedwali hili hapa chini linaonyesha matumizi ya mbolea mbalimbali Tanzania.

View attachment 1796151

Mchoro huu wa chini unaonyesha hatua za kuibadilisha GESI ASILIA kuwa MBOLEA ya AMMONIA.

View attachment 1796152

Mchoro huu wa chini unaonyesha mbolea tutakazo zipata kutoka kwenye AMMONIA baada ya kufanya miungano mingine ya kikemikali.

View attachment 1796153
 
MBOLEA zinazotumika Katika kilimo ni moja ya kemikali zinazozalishwa kwa kuibadilisha GESI ASILIA kuwa MBOLEA katika nchi zilizo endelea. Hivyo kilimo cha Tanzania kinaweza kufaidika sana kama tukianzisha kiwanda kikubwa cha kubadilisha GESI ASILIA kuwa MBOLEA.

Kwa mujibu wa ripoti ya Benki ya Dunia ya mwaka 2013, uchumi wa Tanzania unategemea kilimo kwa zaidi ya robo moja ya Pato la Taifa (27-32%). Kilimo kinatoa 85% ya bidhaa zinazosafirishwa nje ya nchi na kinaajiri 80% ya nguvukazi nchini.

Tanzania huaagiza 90% ya MBOLEA kutoka nje ya nchi, 10% iliyobaki huzalishwa ndani. Lakini pia, MBOLEA inayozalishwa ndani inafaa kwa udongo wenye tindikali (asidi) tu.

MBOLEA YA UREA ndio mbolea inayotumika zaidi nchini ikichukua zaidi ya 33% ya jumla mbolea zote nchini. Na matumizi ya mbolea yanazidi kupanda kila mwaka.

Kama tukianzisha kiwanda cha kuzalisha tani 2300 za AMMONIA kwa siku na tani 4000 za UREA kwa siku (sawa na tani milioni 1.3 za urea kwa mwaka), kiwango hiki kitaweza kukidhi mahitaji ya soko la ndani na kiasi cha mbolea inayobaki katika masoko ya kikanda na kimataifa. Mradi wa mbolea unaweza kufanikiwa katika uwekezaji mdogo tu.

Prosesi za kuibadilisha GESI ASILIA kuwa MBOLEA.

Hatua ya kwanza kabisa gesi asilia (CH4) itabadilishwa kuwa AMMONIA hapo kuna miungano mbalimbali ya kikemikali itafanyika kwa kutumia vichocheo. AMMONIA yenyewe ni mbolea tayari.

Baada ya hapo AMMONIA itabadilishwa kuwa MBOLEA YA UREA kwa kutumia miungano ya kikekimali.

Lakini pia kutoka kwenye AMMONIA tutafanya miungano mingine ya kikemikali kupata mbolea zifuatazo; AMMONIUM NITRATE (NA), AMMONIUM SULPHATE (SA), AMMONIUM PHOSPHATE (PA).

Kutoka kwenye AMMONIUM NITRATE (NA) tutafanya miungano ya kikemikali na kutapata mbolea ya CALCIUM AMMONIUM NITRATE (CAN).

Kutoka kwenye AMMONIUM PHOSPHATE (PA) tutapata mbolea ya MONOAMMONIUM PHOSPHATE (MAP), na DIAMMONIUM PHOSPHATE (DAP).

Jedwali hili hapa chini linaonyesha matumizi ya mbolea mbalimbali Tanzania.

View attachment 1796151

Mchoro huu wa chini unaonyesha hatua za kuibadilisha GESI ASILIA kuwa MBOLEA ya AMMONIA.

View attachment 1796152

Mchoro huu wa chini unaonyesha mbolea tutakazo zipata kutoka kwenye AMMONIA baada ya kufanya miungano mingine ya kikemikali.

View attachment 1796153
 
Kulikuwa na mwekezaji toka Ujerumani kwenye mradi huo wa mbolea na hiyo gesi, naona kampuni hiyo ilikwishajiondoa baada ya kutoonekana maendeleo yoyote kuhusu gesi yenyewe.
 
MBOLEA zinazotumika Katika kilimo ni moja ya kemikali zinazozalishwa kwa kuibadilisha GESI ASILIA kuwa MBOLEA katika nchi zilizo endelea. Hivyo kilimo cha Tanzania kinaweza kufaidika sana kama tukianzisha kiwanda kikubwa cha kubadilisha GESI ASILIA kuwa MBOLEA.

Kwa mujibu wa ripoti ya Benki ya Dunia ya mwaka 2013, uchumi wa Tanzania unategemea kilimo kwa zaidi ya robo moja ya Pato la Taifa (27-32%). Kilimo kinatoa 85% ya bidhaa zinazosafirishwa nje ya nchi na kinaajiri 80% ya nguvukazi nchini.

Tanzania huaagiza 90% ya MBOLEA kutoka nje ya nchi, 10% iliyobaki huzalishwa ndani. Lakini pia, MBOLEA inayozalishwa ndani inafaa kwa udongo wenye tindikali (asidi) tu.

MBOLEA YA UREA ndio mbolea inayotumika zaidi nchini ikichukua zaidi ya 33% ya jumla mbolea zote nchini. Na matumizi ya mbolea yanazidi kupanda kila mwaka.

Kama tukianzisha kiwanda cha kuzalisha tani 2300 za AMMONIA kwa siku na tani 4000 za UREA kwa siku (sawa na tani milioni 1.3 za urea kwa mwaka), kiwango hiki kitaweza kukidhi mahitaji ya soko la ndani na kiasi cha mbolea inayobaki katika masoko ya kikanda na kimataifa. Mradi wa mbolea unaweza kufanikiwa katika uwekezaji mdogo tu.

Prosesi za kuibadilisha GESI ASILIA kuwa MBOLEA.

Hatua ya kwanza kabisa gesi asilia (CH4) itabadilishwa kuwa AMMONIA hapo kuna miungano mbalimbali ya kikemikali itafanyika kwa kutumia vichocheo. AMMONIA yenyewe ni mbolea tayari.

Baada ya hapo AMMONIA itabadilishwa kuwa MBOLEA YA UREA kwa kutumia miungano ya kikekimali.

Lakini pia kutoka kwenye AMMONIA tutafanya miungano mingine ya kikemikali kupata mbolea zifuatazo; AMMONIUM NITRATE (NA), AMMONIUM SULPHATE (SA), AMMONIUM PHOSPHATE (PA).

Kutoka kwenye AMMONIUM NITRATE (NA) tutafanya miungano ya kikemikali na kutapata mbolea ya CALCIUM AMMONIUM NITRATE (CAN).

Kutoka kwenye AMMONIUM PHOSPHATE (PA) tutapata mbolea ya MONOAMMONIUM PHOSPHATE (MAP), na DIAMMONIUM PHOSPHATE (DAP).

Jedwali hili hapa chini linaonyesha matumizi ya mbolea mbalimbali Tanzania.

View attachment 1796151

Mchoro huu wa chini unaonyesha hatua za kuibadilisha GESI ASILIA kuwa MBOLEA ya AMMONIA.

View attachment 1796152

Mchoro huu wa chini unaonyesha mbolea tutakazo zipata kutoka kwenye AMMONIA baada ya kufanya miungano mingine ya kikemikali.

View attachment 1796153
 
MBOLEA zinazotumika Katika kilimo ni moja ya kemikali zinazozalishwa kwa kuibadilisha GESI ASILIA kuwa MBOLEA katika nchi zilizo endelea. Hivyo kilimo cha Tanzania kinaweza kufaidika sana kama tukianzisha kiwanda kikubwa cha kubadilisha GESI ASILIA kuwa MBOLEA.

Kwa mujibu wa ripoti ya Benki ya Dunia ya mwaka 2013, uchumi wa Tanzania unategemea kilimo kwa zaidi ya robo moja ya Pato la Taifa (27-32%). Kilimo kinatoa 85% ya bidhaa zinazosafirishwa nje ya nchi na kinaajiri 80% ya nguvukazi nchini.

Tanzania huaagiza 90% ya MBOLEA kutoka nje ya nchi, 10% iliyobaki huzalishwa ndani. Lakini pia, MBOLEA inayozalishwa ndani inafaa kwa udongo wenye tindikali (asidi) tu.

MBOLEA YA UREA ndio mbolea inayotumika zaidi nchini ikichukua zaidi ya 33% ya jumla mbolea zote nchini. Na matumizi ya mbolea yanazidi kupanda kila mwaka.

Kama tukianzisha kiwanda cha kuzalisha tani 2300 za AMMONIA kwa siku na tani 4000 za UREA kwa siku (sawa na tani milioni 1.3 za urea kwa mwaka), kiwango hiki kitaweza kukidhi mahitaji ya soko la ndani na kiasi cha mbolea inayobaki katika masoko ya kikanda na kimataifa. Mradi wa mbolea unaweza kufanikiwa katika uwekezaji mdogo tu.

Prosesi za kuibadilisha GESI ASILIA kuwa MBOLEA.

Hatua ya kwanza kabisa gesi asilia (CH4) itabadilishwa kuwa AMMONIA hapo kuna miungano mbalimbali ya kikemikali itafanyika kwa kutumia vichocheo. AMMONIA yenyewe ni mbolea tayari.

Baada ya hapo AMMONIA itabadilishwa kuwa MBOLEA YA UREA kwa kutumia miungano ya kikekimali.

Lakini pia kutoka kwenye AMMONIA tutafanya miungano mingine ya kikemikali kupata mbolea zifuatazo; AMMONIUM NITRATE (NA), AMMONIUM SULPHATE (SA), AMMONIUM PHOSPHATE (PA).

Kutoka kwenye AMMONIUM NITRATE (NA) tutafanya miungano ya kikemikali na kutapata mbolea ya CALCIUM AMMONIUM NITRATE (CAN).

Kutoka kwenye AMMONIUM PHOSPHATE (PA) tutapata mbolea ya MONOAMMONIUM PHOSPHATE (MAP), na DIAMMONIUM PHOSPHATE (DAP).

Jedwali hili hapa chini linaonyesha matumizi ya mbolea mbalimbali Tanzania.

View attachment 1796151

Mchoro huu wa chini unaonyesha hatua za kuibadilisha GESI ASILIA kuwa MBOLEA ya AMMONIA.

View attachment 1796152

Mchoro huu wa chini unaonyesha mbolea tutakazo zipata kutoka kwenye AMMONIA baada ya kufanya miungano mingine ya kikemikali.

View attachment 1796153
 
MBOLEA zinazotumika Katika kilimo ni moja ya kemikali zinazozalishwa kwa kuibadilisha GESI ASILIA kuwa MBOLEA katika nchi zilizo endelea. Hivyo kilimo cha Tanzania kinaweza kufaidika sana kama tukianzisha kiwanda kikubwa cha kubadilisha GESI ASILIA kuwa MBOLEA.

Kwa mujibu wa ripoti ya Benki ya Dunia ya mwaka 2013, uchumi wa Tanzania unategemea kilimo kwa zaidi ya robo moja ya Pato la Taifa (27-32%). Kilimo kinatoa 85% ya bidhaa zinazosafirishwa nje ya nchi na kinaajiri 80% ya nguvukazi nchini.

Tanzania huaagiza 90% ya MBOLEA kutoka nje ya nchi, 10% iliyobaki huzalishwa ndani. Lakini pia, MBOLEA inayozalishwa ndani inafaa kwa udongo wenye tindikali (asidi) tu.

MBOLEA YA UREA ndio mbolea inayotumika zaidi nchini ikichukua zaidi ya 33% ya jumla mbolea zote nchini. Na matumizi ya mbolea yanazidi kupanda kila mwaka.

Kama tukianzisha kiwanda cha kuzalisha tani 2300 za AMMONIA kwa siku na tani 4000 za UREA kwa siku (sawa na tani milioni 1.3 za urea kwa mwaka), kiwango hiki kitaweza kukidhi mahitaji ya soko la ndani na kiasi cha mbolea inayobaki katika masoko ya kikanda na kimataifa. Mradi wa mbolea unaweza kufanikiwa katika uwekezaji mdogo tu.

Prosesi za kuibadilisha GESI ASILIA kuwa MBOLEA.

Hatua ya kwanza kabisa gesi asilia (CH4) itabadilishwa kuwa AMMONIA hapo kuna miungano mbalimbali ya kikemikali itafanyika kwa kutumia vichocheo. AMMONIA yenyewe ni mbolea tayari.

Baada ya hapo AMMONIA itabadilishwa kuwa MBOLEA YA UREA kwa kutumia miungano ya kikekimali.

Lakini pia kutoka kwenye AMMONIA tutafanya miungano mingine ya kikemikali kupata mbolea zifuatazo; AMMONIUM NITRATE (NA), AMMONIUM SULPHATE (SA), AMMONIUM PHOSPHATE (PA).

Kutoka kwenye AMMONIUM NITRATE (NA) tutafanya miungano ya kikemikali na kutapata mbolea ya CALCIUM AMMONIUM NITRATE (CAN).

Kutoka kwenye AMMONIUM PHOSPHATE (PA) tutapata mbolea ya MONOAMMONIUM PHOSPHATE (MAP), na DIAMMONIUM PHOSPHATE (DAP).

Jedwali hili hapa chini linaonyesha matumizi ya mbolea mbalimbali Tanzania.

View attachment 1796151

Mchoro huu wa chini unaonyesha hatua za kuibadilisha GESI ASILIA kuwa MBOLEA ya AMMONIA.

View attachment 1796152

Mchoro huu wa chini unaonyesha mbolea tutakazo zipata kutoka kwenye AMMONIA baada ya kufanya miungano mingine ya kikemikali.

View attachment 1796153
 
Mtoa maada una mawazo mazuri, viongozi wetu hawana budi kufanyia kazi, mods rekebisheni uzi, uzi umerudiwa rudiwa sana
 
MBOLEA zinazotumika Katika kilimo ni moja ya kemikali zinazozalishwa kwa kuibadilisha GESI ASILIA kuwa MBOLEA katika nchi zilizo endelea. Hivyo kilimo cha Tanzania kinaweza kufaidika sana kama tukianzisha kiwanda kikubwa cha kubadilisha GESI ASILIA kuwa MBOLEA.

Kwa mujibu wa ripoti ya Benki ya Dunia ya mwaka 2013, uchumi wa Tanzania unategemea kilimo kwa zaidi ya robo moja ya Pato la Taifa (27-32%). Kilimo kinatoa 85% ya bidhaa zinazosafirishwa nje ya nchi na kinaajiri 80% ya nguvukazi nchini.

Tanzania huaagiza 90% ya MBOLEA kutoka nje ya nchi, 10% iliyobaki huzalishwa ndani. Lakini pia, MBOLEA inayozalishwa ndani inafaa kwa udongo wenye tindikali (asidi) tu.

MBOLEA YA UREA ndio mbolea inayotumika zaidi nchini ikichukua zaidi ya 33% ya jumla mbolea zote nchini. Na matumizi ya mbolea yanazidi kupanda kila mwaka.

Kama tukianzisha kiwanda cha kuzalisha tani 2300 za AMMONIA kwa siku na tani 4000 za UREA kwa siku (sawa na tani milioni 1.3 za urea kwa mwaka), kiwango hiki kitaweza kukidhi mahitaji ya soko la ndani na kiasi cha mbolea inayobaki katika masoko ya kikanda na kimataifa. Mradi wa mbolea unaweza kufanikiwa katika uwekezaji mdogo tu.

Prosesi za kuibadilisha GESI ASILIA kuwa MBOLEA.

Hatua ya kwanza kabisa gesi asilia (CH4) itabadilishwa kuwa AMMONIA hapo kuna miungano mbalimbali ya kikemikali itafanyika kwa kutumia vichocheo. AMMONIA yenyewe ni mbolea tayari.

Baada ya hapo AMMONIA itabadilishwa kuwa MBOLEA YA UREA kwa kutumia miungano ya kikekimali.

Lakini pia kutoka kwenye AMMONIA tutafanya miungano mingine ya kikemikali kupata mbolea zifuatazo; AMMONIUM NITRATE (NA), AMMONIUM SULPHATE (SA), AMMONIUM PHOSPHATE (PA).

Kutoka kwenye AMMONIUM NITRATE (NA) tutafanya miungano ya kikemikali na kutapata mbolea ya CALCIUM AMMONIUM NITRATE (CAN).

Kutoka kwenye AMMONIUM PHOSPHATE (PA) tutapata mbolea ya MONOAMMONIUM PHOSPHATE (MAP), na DIAMMONIUM PHOSPHATE (DAP).

Jedwali hili hapa chini linaonyesha matumizi ya mbolea mbalimbali Tanzania.

View attachment 1796151

Mchoro huu wa chini unaonyesha hatua za kuibadilisha GESI ASILIA kuwa MBOLEA ya AMMONIA.

View attachment 1796152

Mchoro huu wa chini unaonyesha mbolea tutakazo zipata kutoka kwenye AMMONIA baada ya kufanya miungano mingine ya kikemikali.

View attachment 1796153
Vizuri, ila unakosea kitu kimoja, at least kwa kukusoma haraka haraka.
Hii taarifa umeitoa wapi? (Vyanzo vyako ni vipi).

Baadhi ya takwimu zimekwishapitwa na wakati. Kwa mfano, hiyo ya "80% ya nguvu kazi"; na nina hakika kuna mengine zaidi ya hayo.

Hata hivyo nakushukuru kwa kutuonyesha mada yako kisayansi.
 
Back
Top Bottom