Behaviourist
JF-Expert Member
- Apr 8, 2016
- 39,926
- 95,626
Utasubiri sanaNgoja tuone
Usisubiri watu hata wewe unaweza kuwa kiongozi ukafanya mabadiriko.Utasubiri sana
Ni kweli mkuu, mazingira ya uwezekezaji ni sisi wenyewe, Watanzania.Mazingira ya uwekezaji ndio kikwazo kikubwa
Mimi sina jeshi wala polisiUsisubiri watu hata wewe unaweza kuwa kiongozi ukafanya mabadiriko.
Ni kweli mkuu, mazingira ya uwezekezaji ni sisi wenyewe, Watanzania.
Ni mwanadamu ambao ndio Mimi na wewe ambao tunaweza kuwa viongozi tukiamua.Ni serikali inayotunga sheria na sera.
hakikaHakuna mtawala anaegusia kilimo labda huwezi pata kiki kupitia kilimo.
Kilimo ndio KILA kitu hata wakoloni waliinua uchumi wa nchi yetu kupitia kilimo.