Pdidy
JF-Expert Member
- Nov 22, 2007
- 57,951
- 32,619
Nimeona ITV kuna zoezi linaendelea kwa kukagua daladala kila mji.
Niwajuze tu kama mtakagua daladala za Dar es salaam yaani zile ofisi zitajaa mabasi mpaka tuchoke.
Nashauri zoezi liishie tu huko mikoani maana watu watakosa kazi kama sio kufukuzwa kwa kuchelewa kazini.
Niwajuze tu kama mtakagua daladala za Dar es salaam yaani zile ofisi zitajaa mabasi mpaka tuchoke.
Nashauri zoezi liishie tu huko mikoani maana watu watakosa kazi kama sio kufukuzwa kwa kuchelewa kazini.