Tukikamilisha miradi ya Stiegler's Gorge na SGR pekee. Ona habari hii na fanya hesabu kuhusu sisi kuendelea kukopesheka na utathimini tunaelekea wapi

Chanzo cha habari yako ndiyo tatizo
Problem ya nyie mnaopenda kusifia hivi vitu, mnapita hata ile element ya stupidity, kwa hiyo nimekudanganya, haya soma hii


Egypt’s Elsewedy, Afreximbank ink USD 500 mn loan agreement
Elsewedy, Afreximbank ink USD 500 mn loan agreement: Elsewedy Electric signed a USD 500 mn loan agreement with the African Export-Import Bank (Afreximbank) to finance its projects in Africa, Elsewedy marketing director Ahmed Hassouna said, according to Youm7. The funds will go toward the USD 3 bn hydroelectric dam in Tanzania, for which the final contracts will be signed today. Prime Minister Moustafa Madbouly is heading to Tanzania for the project’s signing ceremony, while Tanzanian President John Magufuli announced he will sign the Tanzanian dam project this week. Elsewedy will also direct the funding to an electricity generation equipment factory in Uganda, on which it is set to break ground next year. Elsewedy Electric and partner Arab Contractors will sign the USD 3 bn agreement today, Hassouna add
 
Reactions: ffn
Jibu umeleta mwenyewe, kumbe wanakuja na financing yao wenyewe.
 
Again level ya stupidty inaendelea usd 500 against 6.5 trillion means equal
Partial.

Unafikiri mradi mkubwa kama huo financing inatoka sehemu moja tu au yote kwa moja?

Hivi hizo shule huwa mnaenda kufanya nini? Kusomea ujingaaaaaaa?
 
Tayari el sewedy jusi wamekopa usd 500 million kuanza huu mradi, unless serikali ya egypt huko mbele watakusamehe, angekuwa mzungu ningekuwa na uhakika , deni liko pale pale acheni uongo
Thibitisha , sio kuleta porojo hapa
 
Hilo ndiyo jibu. Madeni yatakuwepo na umeme utakuwepo na malipo yatafanyika.

Life goes on.

Ushindwe kulipa deni la chini ya 2t kwa miaka kibao, ndio uweze kulipa 6.5t? Kibaya zaidi hawa marais wetu huwa wanakopa kusaka sifa za kisiasa bila kujali huko mbele wanaokuja kama wataweza kulipa. Mfano halisi ni huo mradi wa gas, kakopa JK kwa Madaha, saa hii deni haliijalipwa na Magufuli kaamua kuachana na gas kaenda kukopa mradi wa umeme wa maji!
 
Mradi huu utakuwa na mkataba wa uendeshaji na usimamizi. Nahisi hivyo.
 
Unatumia makwapa kufikiri?
 
Hilo ndiyo jibu. Madeni yatakuwepo na umeme utakuwepo na malipo yatafanyika.

Life goes on.

Ushindwe kulipa deni la chini ya 2t kwa miaka kibao, ndio uweze kulipa 6.5t? Kibaya zaidi hawa marais wetu huwa wanasaka sifa za kisiasa bila kujali huko mbele wanaokuja kama wataweza kulipa. Mfano halisi ni huo mradi wa gas, kakopa JK kwa Madaha, saa hii deni haliijalipwa na Magufuli kaamua kuachana na gas kaenda kukopa mradi wa umeme wa maji!
 
Reactions: ffn
Mradi huu utakuwa na mkataba wa uendeshaji na usimamizi. Nahisi hivyo.

Endelea kuishi hivyo hivyo kwa kuhisi. Kilichoshindikana kwa miradi mingine ni nini, na sasa malaika wanatoka wapi ndio hapo. Wenzio wanataka mitaji ya kisiasa kulipwa au kutokulipwa haipo kwenye vichwa vyao kwani watakuwa wamestaafu hivyo haiwahusu, anayekuja atapambana na hali yake.
 
Reactions: ffn
Mada fikirishi na uandishi mzuri sana
 
Mkuu ingekua vizuri ungefanya stadi ya reli ya kati ukaangalia utendaji kazi wao. Usipende kukata tamaa kabla hujajaribu...suala la ustaarabu ni changamoto kwetu Watanzania ila sio kila kitu tunaharibu angalia treni ya Deluxe hii inayotoka Dar hadi Kigoma iko vizuri na inafanyiwa maintainance vizur. Matatizo ya TAZARA yasitumike kama study ya Central corridor railway.. Reli ya kati inahudumia watu wengi na maintainance yake ni ya kiwango cha juu. Bado nna imani tunaweza
Unatumia makwapa kufikiri?
Sina uhakika kama kwapa linaweza kufikiri labda lako
 
Bwawa la Ethiopia limeongezewa muda 4yrs zaidi baada ya miaka 7 kushindwa kukamilika kampuni hii ya Arab ilijenga bwawa huko kwao Misri kwa miaka 10 Nawaza tu kama 36months zinatosha
 
Mkuu jamaa ana point ya msingi TRL ni shirika ambalo kuanzia mabehewa mpaka vichwa vyake ni teknolojia za zamani kingine tumerithi toka kwa wakoloni. so si sahihi sana kulinganisha TRL na hii treni ya umeme, kingine tazara ilikuwa ni mradi mkubwa sana ulioanza from scratch kama ambavyo itakuwa hiyo treni ya umeme so nadhani kuna usahihi fulani kulinganisha. Kuna ukweli kuwa watz tunashindwa kuendeleza vitu vyetu vikawa katika ufanisi unaokubalika kimataifa mf mdogo tu ATCL imewahi kuchelewesha safari kisa inamsubiri waziri! na sasa ina kashfa ya ufaulisha ticket!! yaani full uswahili, mabasi ya Mwendokasi si umeona changamoto zake zilivyo kubwa!! Kwa anayejua TAZARA kweli inasikitisha sanaaaaaaaa. Hili shirika lilikuwa na best ever railway workshop ambapo walikuwa wanachonga mpaka matairi ya traini, leo hii imebaki historia!! shirika lipo busy kuuza ardhi yake!!! shirika lina madeni ya kutisha kwa wastaafu wake mpaka wazabuni wa huduma na bidhaa, mishahara kuna wakati inatoka tarehe 90! Sasa ndipo inapaswa serikali ijiulize imeshindwa changamoto hizi je imejiandaa na changamoto za treni ya kisasa ya umeme!! kumbuka kenya karibia itatwaliwa na mdeni wake ambaye ni china!!!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…