Tukikamilisha miradi ya Stiegler's Gorge na SGR pekee. Ona habari hii na fanya hesabu kuhusu sisi kuendelea kukopesheka na utathimini tunaelekea wapi


Shida kubwa ya hii miradi mikubwa ni capacity ya nchi kuiendesha, kikweli kuwapata proper managers watanzania wanoweza na wanexperience ya hivyo sio kuwa hawapo, bali wengi wapo nje ya nchi, kikwete alianza kuwaita mmoja mmoja kwa uwezo wake, akiangia jiwe akawaperusha mmoja baada ya wengine, wamebaki wale ambao kutwaa wanapokea maagizo, ubunifu zero na kutwa kusifu juhudi, otherwise uwezo zero
 
Uelewa wako wa uchumi ni zero!! Wewe ujuzi wako ni propaganda za kisiasa tu.
 
Tupo sisi wazalendo achana na hao waliathirika na uzungu!
 
Tupo sisi wazalendo achana na hao waliathirika na uzungu!
Uzalendo bila skills na capacity , mimi kipimo ambacho hata mimi nilipitia na kwa mfano , miaka ya nyuma niliomba kazi saudia, mimi mkristo mtanzania, nikabomoa miaka mitano nimekaa kenya mitatu, sasa kama capacity ya wewe kununua gazeti kama la economist na ukaapply kazi na ukapata, nitakuvulia kofia, i promise you 99.9% ya watanzania wasomi wanaishia kuomba kazi tamisemi au wakizidi southern sun or the like, wachache utawakuta WB, IMF na hawana hata hamu ya kuja huku
 
Pongezi kwa Rais Magufuli kwa nia yake njema pamoja na uthubutu wa kuhakikisha nchi inakuwa na umeme mwingi na wa bei nafuu, ukizingatia kuwa Stiegler’s Gorge ni mradi ambao upo kwenye mipango ya Serikali tangu miongo minne iliyopita.
Comrade umekomaa sasa.. Hongera kwa kupevuka..usiwe na shaka tutafika salama
 
Nimeshau capacity ya kuandika na kuongea kiingereza, hii inaanzia juu sana, hahaha, ukimsikiliza graduate wa tanzania, au muambia aandika report utajinyea
 
Mkuu kiuhalisia gazeti la mwananchi na citizen NI magazeti ya Kenya ambao ni wapinzani wetu kiuchumi ambao hawaitakii Tanzania mema.
Wao wanajua ya kuwa usitawi wa Tanzania ni kifo Cha Kenya kiuchumi.
Watafanya watakavyofanya ili kutuvuruga Watanzania
Kenya wana SGR.mpya walijenga kwa ajili ya soko la Africa mashariki.
Tanzania tunajenga SGR kwa ajili ya soko Africa mashariki,kwa hesabu ndogo tu Kenya unadhani wanafurahi?
Ukizingatia kwamba Tanzania kwenda Uganda,Rwanda,Burundi na DRC ni karibu kuliko Mombasa Kenya?
Tukiwa Wazalendo wa kweli,Tanzania itakuwa giant kiuchumi in the next twenty years kwa ukanda was Africa Mashariki,Wakenya wanalijua hilo,unafikiri wanafurahi?
TAFAKARI
 
Hapa unamtukana Salary Slip Au Nani? Hivi kwanini hamsomagi mabandiko mnaishia kuponda tu hata bila kusoma? you guys grow up and argue with reason atleast.

Hebu kasome hilo Bandiko lote urudi kusoma jibu lako
Nimesoma bandiko lake lote limejaa nukuu za Nape, Zitto nk na akamalizia na poor conclusion pia huyu jamaa namjua hana la maana ni mpingaji tu na hana chochote cha maana alishatueleza humu kuwa Dreamliner haitakuja ikaja sasa unataka awa reference kwa lipi la maana may be kwako!
 

Mzee tuliza mapepe basi. hilo bandiko ulilonukuu halina wazo lolote la mleta mada nenda kalisome tena. hiyo conclusion unayosema labda kwenye bandiko jingine
 
Reactions: etb
kwa ufahamu wako ukomo wa kukopa kwaTanzania ni dola bilioni ngapi
Ili nchi ifikie hali ya kutokopesheka ni hali gani inabidi itokee?
Usifungue mada kwa vijihabari vya kuokoteza,naomba majibu ya kiyakinifu
 
Embu toa u.j.i.n.g.a wako upeleke chooni
 
Binafsi nimeshafikia Hatua Mbaya sana Kifikra, ninasema hapa kwa Uwazi bila kumumunya maneno. Simwamini Mtu wala Serikali katika haya. Tuliaminishwa Gas ya Mtwara ingekuwa Tiba kwa nchi na nyingine tungeuza nje lakini cha kustaajabisha, Kiwanda cha Dangote tu wameshindwa kukilisha kwa umeme wa gesi. Limekuja hili la Stig nini sijui linamaliziwaje huko mbele, tunaambiwa ndio Mwarobaini. Wacha nibaki kuwa Tomaso.
 
Wanasiasa na wanaonufaika na posho za miradi hiyo hawawezi kukuelewa kabisa. Ila kwa kuchukulia mfano wa tazara tu inasikitisha sana na kunalakujifunza kwenye miradi hii kabla ya kuingia kwenye madeni mengine.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…