masopakyindi
Platinum Member
- Jul 5, 2011
- 18,207
- 13,839
Mbunge Msukuma sasa hivi anavyokejeli wenye elimu ni hatari. Yuko kama mganga wa kienyeji anayeweza kukulisha kinyesi, nawe ukimwamini utapata kila aina ya magonjwa mwilini.
Kimsingi ugonjwa utakupata sababu yz UJINGA!
Ndivyo alivyo huyu mwenzetu, fundi wa kuongea na kughilibu akili za watu wenye elimu kama yake ndogo.
Naweza kukubali Prof Muhongo si ajabu alikosea katika comments zake za gesi, lakini hatujamsikiliza argument zake au alimaanisha nini.
Mtu wa darasa la saba, mwenye kiburi ya pesa, tukimnyanyua kama ndiye one of the standard beares wa hatma ya nchi , tumepotea.
Akisaidiwa na wengine kama kina Kibajaji ati ndio wasemaji wa mustakabali wa Taifa -tumekwisha!
Tukumbuke mfano wa mbwa koko , wakiwa wengi kila mmoja ananyofoa mnofu.
Kimsingi ugonjwa utakupata sababu yz UJINGA!
Ndivyo alivyo huyu mwenzetu, fundi wa kuongea na kughilibu akili za watu wenye elimu kama yake ndogo.
Naweza kukubali Prof Muhongo si ajabu alikosea katika comments zake za gesi, lakini hatujamsikiliza argument zake au alimaanisha nini.
Mtu wa darasa la saba, mwenye kiburi ya pesa, tukimnyanyua kama ndiye one of the standard beares wa hatma ya nchi , tumepotea.
Akisaidiwa na wengine kama kina Kibajaji ati ndio wasemaji wa mustakabali wa Taifa -tumekwisha!
Tukumbuke mfano wa mbwa koko , wakiwa wengi kila mmoja ananyofoa mnofu.