Tukikutana msibani usijifanye unanijua sana na kupeleleza maisha yangu

Tukikutana msibani usijifanye unanijua sana na kupeleleza maisha yangu

Mbishi 4 real

JF-Expert Member
Joined
Jan 16, 2014
Posts
640
Reaction score
651
Kuna hii tabia ya mtu kujifanya anakujua sana na kuanza kujifanya anakuuliza ooh siku hizi uko unafanya issue gani au unaishi wapi and stuffs like that.

Kama ulihitaji kujua kwamba nipo wapi au nafanya issue gani kwasasa ya kuingiza kipato ungekua unanipigia simu au tunawasiliana kabla hata ya kukutana kwenye matukio kama msiba n.k.

Umekuja msibani fuata kilichokuleta, masuala ya kupeleleza watu wanaishije kwasasa wakati hujawahi kuwasaidia hata Tshs 10 yako nyekundu huo ni umama mwisho wa siku utakuja kuvalishwa kanga.

Wenye tabia hizi mnajijua humu nadhani ujumbe umewafikia.
 
Kuna hii tabia ya mtu kujifanya anakujua sana na kuanza kujifanya anakuuliza ooh siku hizi uko unafanya issue gani au unaishi wapi and stuffs like that

Kama ulihitaji kujua kwamba nipo wapi au nafanya issue gani kwasasa ya kuingiza kipato ungekua unanipigia simu au tunawasiliana kabla hata ya kukutana kwenye matukio kama msiba n.k

Umekuja msibani fuata kilichokuleta, masuala ya kupeleleza watu wanaishije kwasasa wakati hujawahi kuwasaidia hata Tshs 10 yako nyekundu huo ni umama mwisho wa siku utakuja kuvalishwa kanga

Wenye tabia hizi mnajijua humu nadhani ujumbe umewafikia
Aaaa jamaa yangu!Yani kukudodosa kote kule nilikuwa simaanishi kukupeleleza kiviiilee.Mwisho nilitaka nikupige kizinga cha msimbazi tu.Nisingekufuatilia tena.Niamini mimi bulaza!
 
Tatizo mnaamini sana kwenye uchawi

Ukimuambia mtu unafanya kazi sehemu flani shida ikowapi?

Unaogopa atakuloga? Aisee

Maswali ya kukwepa ni yale ambayo yako binafsi sana
Self awareness & confidence!Unakataa usijulikane kumbe mtu anataka mfahamiane zaidi akusaidie/akuinue.Wanapiga teke bahati zinazoletwa miguuni/malangoni pao kwa kukosa maarifa.Masikini ya Mungu.
NB;Mimi hata kama nakujua,nakuja kwa njia ya kukudodosa na kutaka urafiki tu.
 
20240712_091158.jpg
 
Ungempa live hapo hapo huku hawezi kukusikia au kusoma huu uzi
Kuja kulalamika huku badala ya kumpa makavu hiyo ni nidhamu ya woga
 
Kuna hii tabia ya mtu kujifanya anakujua sana na kuanza kujifanya anakuuliza ooh siku hizi uko unafanya issue gani au unaishi wapi and stuffs like that.

Kama ulihitaji kujua kwamba nipo wapi au nafanya issue gani kwasasa ya kuingiza kipato ungekua unanipigia simu au tunawasiliana kabla hata ya kukutana kwenye matukio kama msiba n.k.

Umekuja msibani fuata kilichokuleta, masuala ya kupeleleza watu wanaishije kwasasa wakati hujawahi kuwasaidia hata Tshs 10 yako nyekundu huo ni umama mwisho wa siku utakuja kuvalishwa kanga.

Wenye tabia hizi mnajijua humu nadhani ujumbe umewafikia.
Poa blaza kausha yameisha..!
 
Back
Top Bottom