Asante kwa kunipanua mawazo alteza.hii ndio tanzania mkuu presumption of innocent no more mkubwa...yaan tz hata kuisaidia polisi watu wanaogopa kikubwa police inabidi waende shule thus is why hapa UDSM kuna course ya law enforcement kidogo wanasoma na kuelewa human rights na handling of accused hopeful on few year to come somehow problem can be reduced
siua yanatumika na wana siasa kwanza huwaga ni mambumbu ya sheria,na nyingine yanakwambia eti mimi ni mwana jesh mstaafu jihazalini na hawa wanao pita pita mitaan kiharibu amani yetu,sasa muharibifu wa amani ni nani? we unawanyima haki zao una sababisha maisha magumu halafu leo unaitafuta amani!!!!!