Tukimtazama Rais Magufuli katika maono ya Mwalimu Nyerere: Je, wanyonge tungejibu nini?

Kadi ya Chama cha CHADEMA isikufanye upoteze akili yako hata ile ya kuzaliwa?
 
Mimi ni nani hata niweze kuwa na ushahidi muhimu na mkubwa kuwa Magufuli ni fisadi la kutupwa zaidi ya ule ushahidi wa CAG!
You ain't seen nothing yet!

Kwa ujuha wetu akichaguliwa tena huyu, hii ngwe ndio utatambua yeye ni mtu wa aina gani hasa.

Kama ngwe ya kwanza tu kayafanya madudu bila ya aibu au hata kufikiri kuwa bado kuna kesho, akishapewa hii lala salama sijui itakuwaje tena!
 

Washauri na wanasaikolojia wafanye kazi ya ziada kuongea na Rais inawezekana amepata trauma, amepungua ghafla halafu hayupo well organized kwa sasa.
 
Mitano tena kwa JPM
 
Watu wenye fikra na akili hizi za mtazamo wa kimaskini lazima tuwakatae wanaotaka kutuaminisha kuwa eti huu nao ulikuwa uzalendo. Uzuri Nyerere mwenyewe alikubali kwamba yako mambo ya kijinga kijinga waliyoyafanya katika utawala wake. Na alikiri akatoa sababu mojawapo ya kusema sisi si malaika, lazima tulikosea Haya uliyo ya sema hapa ni kati ya hayo ya kijinga.

Nyerere pamoja na akili na hekima alizo kuwa nazo alizunguka ulimwenguni akiwa Rais na hata baada ya kustaafu, akihubiri sisi ni maskini. Pamoja na umaskini aliotufanya tu uamini na kuukubali yeye mwenyewe alitumia landrover ama rangerover nyingine zikiwa zawadi za kutoka kwa malkia kwenye barabara za mashimo mfano wa mahandaki akiwa na mtazamo wa kimaskini. Kwa nini asingetumia baiskeli ama punda?

Akisafiri mikoa yenye barabara za geresha za lami tulizoachiwa na mkoloni lazima aambatane na merceds benz presidential class. Sijui ilikuwa inapakiwa kweye kariboo la jeshi au treni sijui.

Hii imani aliyo ihubiri ya sisi ni maskini imekuwa mnyororo wa kutuweka utumwani kiakili. Kabla ya JPM kuwa Rais na kwa juhudi kubwa kujaribu kubadilisha mitazamo yetu kuhusu umaskini Viongozi waliomfuatia Nyerere walitumia umaskini kama silaha ya kujinufaisha na kisingizio cha kutotimiza wajibu wao. Mbaya zaidi wengine wakaitumia kutekeleza usanii wao.

Kwa faida ya kizazi hiki na kijacho na fikiri ingekuwa jambo la maana kuangalia mapungufu ya viongizi waliopita na kuyaweka wazi ili kuepuka yasijirudie tena. Nyerere alistaafu akahudumiwa kila kitu. Akafia uingereza kwa heshima zote. Ulisha msikia Mtu anaitwa Timothy Apio wewe? Wako wengi mno walio hudumu na Nyerere kama wasaidizi wake wakaishia maisha ya uzeeni ya fedheha na aibu kubwa sana. Maisha ya ufukara na udhalili wa kutupa. Familia zikaachiwa mizigo ya kuwahudumia na familia zikaishia kuubeba wakati mtu alijitoa maisha yake kutumikia watanzania wenzake na kutumikia taifa kwa uaminifu.

Watu katika operesheni vijiji waliswagwa kama wanyama, walitelekezwa maporini ambapo hakuna huduma yeyote wakufa afe wa kupona apone. Msiangalie mazuri tu ya Nyerere yako ya hovyoo mno.

 
1.Mwalimu Julius Nyerere alikuwa.
Mwana zuoni.
Mwana Falsafa.
Na mwana diplomasia.

Sifa ambazo jiwe hana hata moja.

2 Pia nyerere aliwahi kukataa adharani kjujiita jiwe, lakini Magufuli anajiita jiwe.

Usimlinganishe Mwalimu nyerere na uchafu.
 
1.Mwalimu Julius Nyerere alikuwa.
Mwana zuoni.
Mwana Falsafa.
Na mwana diplomasia.

Sifa ambazo jiwe hana hata moja.

2 Pia nyerere aliwahi kukataa adharani kjujiita jiwe, lakini Magufuli anajiita jiwe.

Usimlinganishe Mwalimu nyerere na uchafu.
Mwalimu alikuwa intellectual aliweza kuhojiana na mtu yeyote duniani kiufasaha na kimantiki kwa lugha nyepesi inayoeleweka. Ni tofauti kabisa na mtu anayefokafoka.

Sent from my Nokia 6.1 using JamiiForums mobile app
 
Wangonge ni wale wakulima wa korosho kawapokonya korosho zikaotea katika magodwn.

Wanyonge ni wale wanaokunywa matope nao kawaambia hawapelekei maendereo.

Wanyonge ni waleee waliopatwa na janga la tetemeko la ardhi akaaambia mwafa tetemeko halikuletwa na serikali.

wananchi tukachanga fedha akazila.

Wanyonge ni wale wasomi wa vyuo vikuu kawanyima ajira halafu akaajiri wasio na vyeti.
 
Ukimtaza huyu bwana kwa undani unaona majivuno, kiburi, ufisadi na roho ya chuki kwa wanaomkosoa.
 
Kampeni tayari?

CCM kichwa cha mwenda wazimu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…