Tukimwacha Saidor tutakua tumerogwa

ibanezafrica

JF-Expert Member
Joined
Oct 23, 2014
Posts
7,261
Reaction score
6,553
Niliumia pale alipotuacha Carlos Carlinhos tulipoteza fundi,nikasema at least tunaye Ntibazokiza sasa fununu eti tuna mpango wa kumwacha!aisee viongozi msifanye kosa hilo.

Saidor ni fundi anayeweza kumiliki vizuri mpira,mtaalam wa mipira iliyokufa,pasi zake zinamfikia mtu na bado ni mzoefu pia ana vitu vingi pale vya kutupatia hebu mwacheni.

Ni vizuri hivi tunafanya usajiri wa watu wazuri inapendeza pia wawakute wenzao wazuri.

Nina imani msimu ujao hawa jamaa zetu tunaenda kuwapiga hata goli 5 ktk mechi ya mwanzo tu.
Mwananchi.
 

 
Hapo ulivyomalizia naona ule mwiko huko nyuma unakuvuruga akili
 
Dah! Na mkimbakisha mtakua mmelaaniwa kabisa, sasa kaz kwako kuchagua kurogwa
vs
kulaaniwa
 
Nasikia mmekubaliana kutokwenda kuwapokea wachezaji Airport [emoji23]mlikuwa mnashangaza sana
Mashabiki wa mbumbumbu fc ni washamba, wachezaji kupokelewa Airport ipo mbaka Ulaya Sasa apa Kwetu mbumbumbu fc wanaona ajabu Yanga kupokea wachezaji!!
 
Bro saido ni mgonjwa,anaumia mara kwa mara kutokana na umri wake,yanga wanamuacha bila kupenda

Sent from my SM-N960F using JamiiForums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…