Tukio ambalo sitakaa nilisahau

Tukio ambalo sitakaa nilisahau

Nakumbuka kipindi hicho redio ilikuwa inatangaza mpira wa simba na yanga sasa tukawa tunasikiliza, mimi nikamuuliza mzee mmoja sasa simba anacheza mpira na huyo yanga!!vipi huyo yanga hamwogopi simba!!!yule mzee akanijibu yanga ni mkali balaa anampiga simba!!

Mi nikamuuli huyo yanga kwani ni mnyama gani!! Yule mzee akanijibu kama unataka kuwaona pasua hiyo redio watatoka huko utawaona!!mimi nikamwambia unasema kweli?? Yule mzee akasema ni kweli ngoja niondoke alafu uipasue utaona mwenyewe!! Yule mzee akaondoka mimi nikaona ni kweli!!

Nikamwambia dogo apande juu ya mti dogo akapanda mimi nikaandaa ngazi nikaweka kwenye mti nikaenda kuchukua shoka la baba mvunguni mwa kitanda!

Asee hamuwezi amini niliikung'uta ile redio shoka nikakimbilia ile ngazi nikapanda juu ya mti kusubiri simba na yanga watoke,Kumbe yule mzee alinidanganya!
hahahahaaaa nimecheka jf hapana chezea
 
Yaani mkuu nikitumia nguvu kubwa sana kukung'uta ile redio maana yule mzee akiniaminisha sana kuwa ndani mle hao wanyama wapo na nguvu nilotumia ni kubwa hata kama wangekuwepo ningechanganya ubongo zao kiwiliwili maana nilipiga kwa ngucu zangu zote!! Ebu emagine shoka ubebee juu kwa nguvu zite upige nalo redio [emoji2] [emoji2] [emoji2]
 
Yaani mkuu nikitumia nguvu kubwa sana kukung'uta ile redio maana yule mzee akiniaminisha sana kuwa ndani mle hao wanyama wapo na nguvu nilotumia ni kubwa hata kama wangekuwepo ningechanganya ubongo zao kiwiliwili maana nilipiga kwa ngucu zangu zote!! Ebu emagine shoka ubebee juu kwa nguvu zite upige nalo redio [emoji2] [emoji2] [emoji2]
Uwezo wako wa kunyanyua Shoka na kuvunja redio kisha kupanda ngazi na kukimbilia juu ya mti inaonyesha kabisa kiumri ulikua umeshakua sema ulichelewa tu kupata akili!
 
Nilikua nasikiliza Mpira,sasa mchezaji mmoja akafunga goli lakini refa akalikataa eti mchezaji alikua "Ameotea"

Nikashangaa sana na kujiuliza;

"Hivi huyu refa alijuaje kama huyu mchezaji aliota kua leo atafunga goli?"

Utoto raha sana..!!

hahahahahah duuuh
 
Nilikua nasikiliza Mpira,sasa mchezaji mmoja akafunga goli lakini refa akalikataa eti mchezaji alikua "Ameotea"

Nikashangaa sana na kujiuliza;

"Hivi huyu refa alijuaje kama huyu mchezaji aliota kua leo atafunga goli?"

Utoto raha sana..!!

Nipo kijijini nabofya Kitecno changu necheka hadi basi.
Wenzangu wananishangaa!!
Ubarikiwe!!
 
Umecheka nini mkuu[emoji134] [emoji134]
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Haaa jamaniiii[emoji134] [emoji134] [emoji134] [emoji134]
 
Back
Top Bottom