Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kifo cha muuwaji.Naam
Wakuu nadhani baadhi yetu tukiwa sehemu mbali mbali za dunia au nchini tulijaribu namna moja kuvuka kutoka 21 kwenda 22.
Kila mtu akifanya kwa namna yake
Kama lengo la kichwa hapo juu ni tukio gani lilikunyoosha mpaka kufikia hatua ya kutolisahau au ni tukio gani ulikutana nalo lilikuinua kutoka sehemu moja kwenda nyingine. Ukafanikiwa
Na hautolisahau
Binafsi mwezi may pale 2021 nilipata kamchongo ka party time ambayo ningevuta mkwanja flani mrefu sana ambao nlishaupangia bajeti kabisa na ratiba.
Ilikuwa green city huko lahaulla nikaazima gari ya jamaa damu damu kabisaa na alinielewa maana si mara moja kuinuana kwenye shida sasa ile kufika maeneo ya igawa pale wakati naliendea jiji la mbeya
Asalaaale!! nikaangusha chuma wakati nakwepa boda boda iliyojichanganya
Matokeo yake nikawa kwenye matibabu na kibarua kikaota nyasi baadaya kuchelewa , kilichoibuka ni kufanya matengenezo ya gari na kula hasara maradufu
Allhamdulliah shukraani kwa Mola bado napumua na nina nafasi ya kundelea kuzisaka nyingine
VIPI KWAKO ULIKUTANA NA DHAHAMA AU TUKIO LENYE NEEMA IPI???
[emoji23][emoji28][emoji28][emoji23][emoji28][emoji119][emoji119]haki mi na deni la taifa pa1 na matozo kibao bado linaongezeka[emoji26][emoji26]TUKIO LA TOZO NA CHANJO HALIFUTIKI KICHWANI KWANGU
R.I.P JPM
Wachache Sana tulioelewa Apo.Povu ruksa !!,,Mungu alijibu maombi yangu ya miaka mingi mwezi wa 3
Uzi upo tayari utafute mkuu.Mkuu funguka kidogo watu tujifinze wengine wwnaona wao Wana MAGUMU zaidi kumbe ukifunguka hili lako yakwetu uanakuwa chamdoli
😅😅😅😅Tukio la kuwekewa vyupa kwenye supu.
Ilikua hatari sana
Ila Mungu ni mshindi daima.
VizuriiiKwa kweli yapo mengi mabaya na mazuri ila Rais Samia kunipandisha daraja june 2021 ilinivusha ktk hali fulani ngumu, nmeamua kuikumbka hii.
Sawa mkuuMarch 17,2021 aisee sitosahau kifo cha huyu jamaa JPM niliumia kinoma,alikua binadam mwenye mapungufu kibao,mema machache but alikua Mtu kabisa.
😅😅😅😅🤣Mimi kubwa zaidi kwangu nilikuwa na mchepuko wangu ambaye alinipenda sana hata siwezi simulia. Huyu dada wako mapacha na mwenzeke Tena wale wa kufanana hasa. Mwenzake ameolewa Sasa Kuna siku watu wasiojulikana na hawawajui hawa pacha waliniona niko na mchepuko wangu si wakaenda kwa jamaa kumwambia mkeo anatoka na mhakiki. Bwana lilitokea timbwili la asha ngedele na halijaisha ninahama nalo kwenda 2022. Yaani hawa pacha hawa acha kabisa.
MadeniiiiSitausahau huu mwaka mi nauita mwaka wa madeni nashukuru mungu sikuweza kujidhuru kuna wakati hadi nilisema kwanini nipo nilipo kwanini nisingebaki level za kuwaza kesho ndakula nini kwanini hapa nilipo sitaki nishuke nikakumbuka majamaa walivokuwa wanapambana shuleni wasishuke top 3 halafu wahuni hata hatuwazi tuna namba zetu spesho kutoka mwisho nikajisemea kumbe jamaaa waliteseka sana
Kabiiisa jaah blessNimepitia kipind kigumu lakin yote kwa mapenzi ya mungu.
Baba aliondoka january, baada ya mda akafwata bibi, akafwata tena shangazi bibi na baadae akafwata baba mdogo mtoto wa babu mkubwa.
Isitoshe nilikuwa na wife naye ni mjamzito alaf sina kazi niko nabangaiza dah! Familia bado pande zote yangu na nlioachiwa inanitizama, ila hakika mungu ametupigania uhai bado upo.
When success is near the road gets tough hlo nlilitambua bado napambana.
Jah bless 2022.
😅😅😅😅Kuwa na mahusiano na mke wa mtu 😢
Mungu yu mwemaTukio la kufungwa kwa Kampuni niliyokuwa nafanya kazi kwa sababu ya Covid -19 na kunifanya nikae bila kazi mda mrefu nikiwa na maisha magumu ambayo sijawahi yaona. nashukuru Mungu sasa niko fresh.
SawaKifo cha mwamba John Joseph Pombe Magufuli
Sawa sawaHakuna jipya,nafurahia kila dakika ya uhai wangu no matter what,
My rich is my life.