Tukio gani hautolisahau mwaka 2021?

Rafiki yake Bwana mkubwa alivo wa danganya watu ktk nyumba ya Ibada kama wasiwe na wasi wasi boss ni mzima na anawasalimia Jamani kumbe maiti ana sema na kumtuma mjumbe
 
Kifo cha muuwaji.
 
Nimepitia kipind kigumu lakin yote kwa mapenzi ya mungu.
Baba aliondoka january, baada ya mda akafwata bibi, akafwata tena shangazi bibi na baadae akafwata baba mdogo mtoto wa babu mkubwa.
Isitoshe nilikuwa na wife naye ni mjamzito alaf sina kazi niko nabangaiza dah! Familia bado pande zote yangu na nlioachiwa inanitizama, ila hakika mungu ametupigania uhai bado upo.

When success is near the road gets tough hlo nlilitambua bado napambana.
Jah bless 2022.
 
πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…πŸ€£
 
Madeniiii
 
Kabiiisa jaah bless
 
Tukio la kufungwa kwa Kampuni niliyokuwa nafanya kazi kwa sababu ya Covid -19 na kunifanya nikae bila kazi mda mrefu nikiwa na maisha magumu ambayo sijawahi yaona. nashukuru Mungu sasa niko fresh.
Mungu yu mwema
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…