Da Vinci XV
JF-Expert Member
- Dec 7, 2019
- 3,862
- 6,438
- Thread starter
-
- #61
π π π π daahNipale nilipo ugua gono nikalipeleka ndani ngoma ikawa ngumu pakuanzia niwapi ili my wife naye akatibiwe ila kwa baadaye tulitibiwa na sasa naibebena Bila shids
π π π daah poleeDemu kunidanganya Yuko seminar wiki nzima kumbe Yuko na mshikaji harafu nishapeleka mahari ,ndoa ilikuwa ifanyike January ,hivyo sioi Tena ,
π π π πHuu mwaka ulikua na connection nyingi sana!
Daaaah in Tundu lissu soundKufa kwa dictator uchwara sitasahau
Ukinunua umeme, ukituma hela, ukipokea hela hata huko ITM,TUKIO LA TOZO NA CHANJO HALIFUTIKI KICHWANI KWANGU
R.I.P JPM
Weka picha niione madameNilinunua designer handbag kwa mara ya kwanza.
Weka picha niione madame
Well, asante I'll show my daughter
Asante mkuuPole sana...
πππWell, asante I'll show my daughter
Mkuu uliipenda hiyo rangi au ipo ya aina hiyo tuu,