kidaganda
JF-Expert Member
- Aug 26, 2013
- 2,995
- 2,572
Ni tukio gani au mechi ipi ilishawahi kukuliza au kukutoa machozi.
Brazil vs holland worldcup 98,holland anakufa kwa penati baada ya mechi ngumu sana,pira mwingi,ufundi mwingi,striker wakali,beki kali,viungo wakali,makipa makini.
Tukio la Pili
Asamoah Gyan anapokosa kutupeleka wa Afrika kwenda nusu fainali ya kombe la dunia kwa mara ya kwanza tena kwenye ardhi ya Afrika..na hapo chuki yangu na Suarez na washirika wake ndipo ilipozaliwa na haitokoma.
Brazil vs holland worldcup 98,holland anakufa kwa penati baada ya mechi ngumu sana,pira mwingi,ufundi mwingi,striker wakali,beki kali,viungo wakali,makipa makini.
Tukio la Pili
Asamoah Gyan anapokosa kutupeleka wa Afrika kwenda nusu fainali ya kombe la dunia kwa mara ya kwanza tena kwenye ardhi ya Afrika..na hapo chuki yangu na Suarez na washirika wake ndipo ilipozaliwa na haitokoma.