Tukio gani la mwisho lililosababisha utokwe machozi

Tukio gani la mwisho lililosababisha utokwe machozi

Jaalut

Member
Joined
Jan 18, 2020
Posts
72
Reaction score
245
Habari zenu.

Inafahamika kwamba hakuna jambo gumu kama mtu mzima kutokwa na machozi.

Kuna siku nilala halafu nikiwa usingizini nikaota ndoto ambayo ilinifanya nilie sana, kiasi kwamba mpaka nilipozinduka toka usingizin niliendelea kulia kwa uchungu sana mpaka nikajishangaa, na hilo ndio tukio langu la mwisho lililosababisha nilie.

Wahenga walisema "ukiona mtu mzima analia ujue kuna jambo"

JE, WEWE NI TUKIO GANI LA MWISHO LILILOSABABISHA ULIE?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nilikutana na mdada wanaitwa UNO FENI!!
Chozi lilinidondoka la jicho moja la kulia!
 
Habari zenu.

Inafahamika kwamba hakuna jambo gumu kama mtu mzima kutokwa na machozi.

Kuna siku nilala halafu nikiwa usingizini nikaota ndoto ambayo ilinifanya nilie sana, kiasi kwamba mpaka nilipozinduka toka usingizin niliendelea kulia kwa uchungu sana mpaka nikajishangaa, na hilo ndio tukio langu la mwisho lililosababisha nilie.

Wahenga walisema "ukiona mtu mzima analia ujue kuna jambo"

JE, WEWE NI TUKIO GANI LA MWISHO LILILOSABABISHA ULIE?

Sent using Jamii Forums mobile app
Nililia sana Rais aliposema Dar haiwezi kuwekwa kwenye lockdown

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ndoto za kubeba mrwanda zilipofifia

stidy
 
  1. Tunakusihi jitahidi kuosha mikono kwa maji safi na sabuni mara kwa mara
  2. Kwa siku chache hizi jaribu kutulia nyumbani kuepusha maambukizi
 
Back
Top Bottom