Tukio gani la wenge (kutojielewa) ulishawahi lifanya..?

Mkuu haikuwa hayo ma pono.. sikuwa na tabia hizo wakati huo ila sahivi sasa site za pono bila kuzitembelea sioni nimeifanyia haki simu..πŸ˜‚ japo si kila siku huwa inategemea na akili imekaaje ila nikivuka wiki sijaangalia basi Kuna shida mahali
umenisikitisha sanaπŸ˜’πŸ˜’
 
Siku ya kwanza kupangwa kutumikia altare (watoto watumishi kwa wakatoliki naamini wanaelewa) ilikua mwaka 2004. Nilikua na mzuka sana siku hiyo. Mida fulani usiku hivi nikakurupuka kitandani kucheki saa ukutani mshale upo kwenye 12 (saa sita usiku) mimi na wenge langu nikaileta kwenye kiswahili, nikajikoki huyo vuup nikaenda church huku home sijafunga milango wala nini nikiamini kumeshakucha (niliirudisha tu)

Nikaanza kukanyaga road, kufika mahala nikakuta dogo mmoja anakata gogo na lile giza tumeshtuana kila mtu njia yake (baadae tulikuja kujuana tukaishia kucheka tu) kufika church walinzi ndio wananitonya kua we dogo mbona sasa hivi ni saa sita usiku, nikataka kurudi home wakanizuia wakaniambia nipoe kwenye nyumba yao. Mbwa wao nae akanitilia nux, kila nikisinzia ananifokea "sikulala usiku kucha, mpaka saa 12 inafika tunapanda altareni nina bonge la usingizi, nikaishia kusinzia altareni [emoji2] na kukosea mwanzo mwisho na viongozi walikuepo basi baada ya hapo nikala mvua (adhabu) ya kutosha.
 
m nakumbuka enzi hzo nko 4m2 nimetoka zangu skonga nikafika maskani nikamsalimia mama na baba then nikala chakula nikaingia kulala mida kama ya saa kumi jioni bna ee si nikawa naota kuwa nko shule mi kuamka saa kumi na mbili jioni nikajua nimechelewa shule bas nikawa bize kweli nikatinga nguo za shule nko fastana nikampa salam mshua nikajua ni asubuhi mshua nae akaniacha tu nikatembea umbali kidogo ndo nashtuka kumbe jua linazama
 
πŸ˜‚πŸ˜‚ Hii haikuwa bangi hii..?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…