Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
koma manga mwenye dada hakosi shemeji😂 Mkuu kalale mbele huko..
kuongeza ruksaAlishapata huko kitambo tu..
mie buheri wa afya hofu kwako babaAchana na hayo makanyeramumo..
Vipi sweetie weye buheri mama..?
umenisikitisha sana😒😒Mkuu haikuwa hayo ma pono.. sikuwa na tabia hizo wakati huo ila sahivi sasa site za pono bila kuzitembelea sioni nimeifanyia haki simu..😂 japo si kila siku huwa inategemea na akili imekaaje ila nikivuka wiki sijaangalia basi Kuna shida mahali
nimekusamehe hendisamu wangu.love youPole Sana Basi naomba msamaha na kwako wewe ndo utakuwa muarobaini wangu mama.. don't be sad my girl...😉
pole, nini mbaya babaMi si mzima naumwa hata sioni Raha ya maisha tabu tupu.
polee jamani😊Homa homa tu chamoto nakiona hatari..😅
hehehehe ngoja kwanza 😅😅Ahsante natamani ungekuwa karibu yangu unipoze mtima..
utapona tu relaxNingoje nini Tena nawakati mwenzio si buheri..!
najua ...... i love you too!Halafu hivi unajua in real kabisa kabisa I love you!
😂😂 Hii haikuwa bangi hii..?m nakumbuka enzi hzo nko 4m2 nimetoka zangu skonga nikafika maskani nikamsalimia mama na baba then nikala chakula nikaingia kulala mida kama ya saa kumi jioni bna ee si nikawa naota kuwa nko shule mi kuamka saa kumi na mbili jioni nikajua nimechelewa shule bas nikawa bize kweli nikatinga nguo za shule nko fastana nikampa salam mshua nikajua ni asubuhi mshua nae akaniacha tu nikatembea umbali kidogo ndo nashtuka kumbe jua linazama