Tukio gani la wenge (kutojielewa) ulishawahi lifanya..?

Isn't it a sham?
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Hii kawaidaa sana mbonaa
 
Niligeuza shati nikatoka nyumban mpaka ofsini huku nikiwa na sabuni kwenye maskio yaani sikuoga vzuri
🤣🤣 Mkuu ilikuwa nini shida..? Hukua hata na kioo..? Au ulipigwa kibuti.. na isitoshe ulikuwa umegeuza shati na unapovu sikioni huku ukienda kazini unaongeaongea..😂
 
[emoji1787][emoji1787] Mkuu ilikuwa nini shida..? Hukua hata na kioo..? Au ulipigwa kibuti.. na isitoshe ulikuwa umegeuza shati na unapovu sikioni huku ukienda kazini unaongeaongea..[emoji23]
Hamna kulikuwa kuna ugeni mkubwa unaoambatana na ukaguzi

Na nilikuwa nimechelewa mnooo
Kwa hyo haraka haraka zikaniponza nikawa laughing stock ofsini
 
Katika harakati za kuwahi shule kutokana na ugumu wa usafiri kwa wanafunzi, nikajikuta nakurupuka saa 8 usiku kuelekea shuleni(TAMBAZA) bila ya kujua muda, Kwanza nilipofika stendi nilishtuka kidogo maana nilimkuta mtu mmoja tu na sio kawaida ila sikujali. Kufika Kariakoo mida ya saa 9 sasa ndio nikashtuka baada ya kumuuliza muuza kahawa saa, maana kulikua kumetulia hv sio kama nilivyozoea huwa nafikaga mida ya saa 11
 
Ilikuwa ni mchana Nilikojolea sufuria la mchuzi msibani nikizani choo cha public nilikuwa nimelewa sana wamama waliokuwa wanaanda msosi walishika kichwa
 
Nilitaka kumbalasa mshua nikidhani Ni Mwizi, nilikuwa nimetoka usingizini (wenge la usingizi)
 
Ilikuwa ni mchana Nilikojolea sufuria la mchuzi msibani nikizani choo cha public nilikuwa nimelewa sana wamama waliokuwa wanaanda msosi walishika kichwa
Mkuu we Bata kweli Tena ilifaa ule kisago
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…