Tukio gani la wenge (kutojielewa) ulishawahi lifanya..?

Tukio gani la wenge (kutojielewa) ulishawahi lifanya..?

m nakumbuka enzi hzo nko 4m2 nimetoka zangu skonga nikafika maskani nikamsalimia mama na baba then nikala chakula nikaingia kulala mida kama ya saa kumi jioni bna ee si nikawa naota kuwa nko shule mi kuamka saa kumi na mbili jioni nikajua nimechelewa shule bas nikawa bize kweli nikatinga nguo za shule nko fastana nikampa salam mshua nikajua ni asubuhi mshua nae akaniacha tu nikatembea umbali kidogo ndo nashtuka kumbe jua linazama
Isn't it a sham?
 
Wenge la kupiga bao kwenye paper.

Almost limekata saa 1 bila kufanya kitu ilikuwa Engineering drawing paper masaa matatu.

Wakati kichwani mchoro tayari nimeuchora na naona ndani ya dakika 20 naweza kumaliza ila nashangaa muda wote huo natembeza cursor wala sijaanza.

Nilijizuia kupiga bao ila mara ndio hivyo baada ya pale akili ilikaa vyema dakika 20 nyingi nikamaliza.


Nilikuwa nasikia wanangu kupiga bao kwenye paper nilikuwa nahisi walikuwa wanawaza ngono aisee mambo si hivyo.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Hii kawaidaa sana mbonaa
 
Niligeuza shati nikatoka nyumban mpaka ofsini huku nikiwa na sabuni kwenye maskio yaani sikuoga vzuri
🤣🤣 Mkuu ilikuwa nini shida..? Hukua hata na kioo..? Au ulipigwa kibuti.. na isitoshe ulikuwa umegeuza shati na unapovu sikioni huku ukienda kazini unaongeaongea..😂
 
[emoji1787][emoji1787] Mkuu ilikuwa nini shida..? Hukua hata na kioo..? Au ulipigwa kibuti.. na isitoshe ulikuwa umegeuza shati na unapovu sikioni huku ukienda kazini unaongeaongea..[emoji23]
Hamna kulikuwa kuna ugeni mkubwa unaoambatana na ukaguzi

Na nilikuwa nimechelewa mnooo
Kwa hyo haraka haraka zikaniponza nikawa laughing stock ofsini
 
Katika harakati za kuwahi shule kutokana na ugumu wa usafiri kwa wanafunzi, nikajikuta nakurupuka saa 8 usiku kuelekea shuleni(TAMBAZA) bila ya kujua muda, Kwanza nilipofika stendi nilishtuka kidogo maana nilimkuta mtu mmoja tu na sio kawaida ila sikujali. Kufika Kariakoo mida ya saa 9 sasa ndio nikashtuka baada ya kumuuliza muuza kahawa saa, maana kulikua kumetulia hv sio kama nilivyozoea huwa nafikaga mida ya saa 11
 
Ilikuwa ni mchana Nilikojolea sufuria la mchuzi msibani nikizani choo cha public nilikuwa nimelewa sana wamama waliokuwa wanaanda msosi walishika kichwa
 
Nilitaka kumbalasa mshua nikidhani Ni Mwizi, nilikuwa nimetoka usingizini (wenge la usingizi)
 
Ilikuwa ni mchana Nilikojolea sufuria la mchuzi msibani nikizani choo cha public nilikuwa nimelewa sana wamama waliokuwa wanaanda msosi walishika kichwa
Mkuu we Bata kweli Tena ilifaa ule kisago
 
Back
Top Bottom