Tukio gani la wenge (kutojielewa) ulishawahi lifanya..?

Tukio gani la wenge (kutojielewa) ulishawahi lifanya..?

KENZY

JF-Expert Member
Joined
Dec 27, 2015
Posts
32,529
Reaction score
76,691
Kuna muda akili zetu hupatwa na wenge inakuwa Kama ufahamu umeyumba flani hivi,tunaweza sema ubongo umeyumba kwa muda!..

Ktk kumbukumbu nilishawahi mzingua father kwa wenge nililokuwa nalo..!
Ilikuwa hivi usiku nilibaki sebuleni mwenyewe nikiwa naangalia mkanda enzi bado VHS zipo,huku wengine wakitopea vyumbani na kwenda kupiga mbonji.. mwenyewe nikapata wasaa wa kujimwayamwaya na VHS ya ngumi.. Sasa mkanda ukaisha huku nikiwa na wenge la usingizi kichwani nikajiambia nikautoe then nikalale,Hilo ndo lilikuwa wazo na lilisubiri vitendo tu! Na wazo hilo lilibaki kichwani likilandalanda huku nikitopea kwenye usingizi wa pono..

Ebhana we si mzee katoka ktk mizunguko yake usiku ule akagonga mlango nikasikia kabisa,nilichofanya si kwenda kufungua mlango ni moja kwa moja nikaelekea kutoa ule mkanda maana ndo wazo lililokuwepo kichwani..😅
Sasa ubovu ile deki ilikuwa mizinguo Batani ya kutolea mkanda ilikuwa imeshakufa so nikawa nalazimisha kuutoa mkanda ili ndo nikamfungulie!
Nayeye ndo akawa anakazana kugonga alipoona mbona siji akachungulia dirishani nipo bize nahangaika na deki huku nikimuambia nakuja..😂

Akaongeza ugongaji huku akifoka zaidi maana nae alikuwa nzwiii.. he he kwani komamanga wa watu nilikuwa naelewa! Ndo kwanza Niko bize kutoa mkanda sielewi kabisa!

Ilibidi mpk mtu mwengine aamke huko ndo aje amfungulie! Sasa hapo ndo nikaipatapata nilichezeshwa mateke na mabanzi mpk nikakaa sawa.
Sikumbuki hata nilifanikiwa kuutoa ule mkanda au vipi nachokumbuka nilikula kibano tu..😂😂

Nyengine ilikuwa usiku familia tumetulia tunacheki tv Sasa na redio ilikuwa inalia kwa mbali.. mzee mzima Kama kawaida yangu nikapitiwa usingizi,nikaamshwa nikalale chumbani.. nilichokifanya niliinuka nikaenda nikazima redio nikarudi nikakaa!!😅
Ikabidi waniangalie tu wakaniacha na wenge langu..


Karibu tushee mawenge yaliyotukumba najua Kuna wengine wamekuwa na mawenge mpk yakaleta madhara!… Tufanye Kama sehemu ya kujifunza na namna ipi ya kuweza kuzuia mawenge hayo.

Karibuni.
 
Hii ilimkuta bro ila nikawa muhanga almanusra anifumue..😂
Alikuwa kalala simu yake ikaita nikatumwa nimpelekee ile namuamsha mtu anaamka kwa spidi then ananikwida! Halafu ananiuliza we nani..?? Macho yake hapo yamekuwa mekundu ndo kwanza haelewi kakazia kuniuliza we Nani..?
Aisee nilibaki namtazama tu sikumjibu nilibaki nimeshikilia simu yake ikiwa inaita tu mpk wenge likamtoka akaniacha nikampa simu lake nikala kona.. kurudi sebuleni nawasimulia wengine wanacheka tu! Sister nae alivyompenda sifa ndo kwanza ananiambia ati ningemjibu "Mi mwizi"😂😂
Sidhani Kama ningetoka salama kwa jibu Hilo..😅
 
Mimi wenge langu ilitokea hivi.
Kuna kipindi miaka ya nyuma sana nikiwa mwanafunzi.
Ilikuwa ni usiku mida kama ya saa 2 hivi natoka nyumbani naelekea maeneo ya stendi kupiga misele.
Sasa nikiwa barabarani natembea mita 300 kabla ya stendi nikaona watu vijana wanakimbia kwa spidi kubwa kutoka vichochoroni wanavuka barabara wanazama upande wa pili na kupotea vichochoroni.
Sasa mimi sikujua wanakimbia nini ikanibidi na mimi nikimbie kwenda mbele ya safari yangu kwa umbali kama mita 100 hivi kisha nikasimama kutafakari ni kitu gani kilichowakimbiza,sasa hapo mahali niliposimama kumbe mbele yangu kuna defender ya polisi halafu mimi sijaiona,kumbe wale vijana walikuwa ni wavuta bangi na wacheza kamari ndio walikuwa wanawatoroka wale polisi.
Basi kwenye ile defender kuna mkubwa wa wale polisi akanishtua kwa sauti kubwa,"wewe kijana unakimbia kimbia hovyo tu bila kujua ni kitu gani unachokikimbia?kuwa makini utaingizwa kwenye kosa ambalo halikuhusu"
Kugeuza shingo hivi naona defender imebeba mapolisi kama 10 hivi.
Hapo mapigo ya moyo yalienda mbio na akili zikaniruka na sikujua nifanye nini hata kuongea kuwaomba msamaha wale polisi badala yake nikapata wenge na kuanza kukimbia tena mpaka stendi huku nahema.
Kilichoniokoa nilikuwa nimevaa smart na sio kihuni yaani sikuwa na muonekano wa kihalifu.
 
Kuna muda akili zetu hupatwa na wenge inakuwa Kama ufahamu umeyumba flani hivi,tunaweza sema ubongo umeyumba kwa muda!..

Ktk kumbukumbu nilishawahi mzingua father kwa wenge nililokuwa nalo..!
Ilikuwa hivi usiku nilibaki sebuleni mwenyewe nikiwa naangalia mkanda enzi bado VHS zipo,huku wengine wakitopea vyumbani na kwenda kupiga mbonji.. mwenyewe nikapata wasaa wa kujimwayamwaya na VHS ya ngumi.. Sasa mkanda ukaisha huku nikiwa na wenge la usingizi kichwani nikajiambia nikautoe then nikalale,Hilo ndo lilikuwa wazo na lilisubiri vitendo tu! Na wazo hilo lilibaki kichwani likilandalanda huku nikitopea kwenye usingizi wa pono..

Ebhana we si mzee katoka ktk mizunguko yake usiku ule akagonga mlango nikasikia kabisa,nilichofanya si kwenda kufungua mlango ni moja kwa moja nikaelekea kutoa ule mkanda maana ndo wazo lililokuwepo kichwani..😅
Sasa ubovu ile deki ilikuwa mizinguo Batani ya kutolea mkanda ilikuwa imeshakufa so nikawa nalazimisha kuutoa mkanda ili ndo nikamfungulie!
Nayeye ndo akawa anakazana kugonga alipoona mbona siji akachungulia dirishani nipo bize nahangaika na deki huku nikimuambia nakuja..😂

Akaongeza ugongaji huku akifoka zaidi maana nae alikuwa nzwiii.. he he kwani komamanga wa watu nilikuwa naelewa! Ndo kwanza Niko bize kutoa mkanda sielewi kabisa!

Ilibidi mpk mtu mwengine aamke huko ndo aje amfungulie! Sasa hapo ndo nikaipatapata nilichezeshwa mateke na mabanzi mpk nikakaa sawa.
Sikumbuki hata nilifanikiwa kuutoa ule mkanda au vipi nachokumbuka nilikula kibano tu..😂😂

Nyengine ilikuwa usiku familia tumetulia tunacheki tv Sasa na redio ilikuwa inalia kwa mbali.. mzee mzima Kama kawaida yangu nikapitiwa usingizi,nikaamshwa nikalale chumbani.. nilichokifanya niliinuka nikaenda nikazima redio nikarudi nikakaa!!😅
Ikabidi waniangalie tu wakaniacha na wenge langu..


Karibu tushee mawenge yaliyotukumba najua Kuna wengine wamekuwa na mawenge mpk yakaleta madhara!… Tufanye Kama sehemu ya kujifunza na namna ipi ya kuweza kuzuia mawenge hayo.

Karibuni.
Huu mkanda utakuwa ulikuwa pono tu wala sio muvi ya ngumi kama unavyojaribu kuremba.😂😂😂 Ishawahi kunitokea kanda ya pilau kunasa kwenye deki ikabidi niipige spana deki
 
Huu mkanda utakuwa ulikuwa pono tu wala sio muvi ya ngumi kama unavyojaribu kuremba.😂😂😂 Ishawahi kunitokea kanda ya pilau kunasa kwenye deki ikabidi niipige spana deki
Mkuu haikuwa hayo ma pono.. sikuwa na tabia hizo wakati huo ila sahivi sasa site za pono bila kuzitembelea sioni nimeifanyia haki simu..😂 japo si kila siku huwa inategemea na akili imekaaje ila nikivuka wiki sijaangalia basi Kuna shida mahali
 
Mimi wenge langu ilitokea hivi.
Kuna kipindi miaka ya nyuma sana nikiwa mwanafunzi.
Ilikuwa ni usiku mida kama ya saa 2 hivi natoka nyumbani naelekea maeneo ya stendi kupiga misele.
Sasa nikiwa barabarani natembea mita 300 kabla ya stendi nikaona watu vijana wanakimbia kwa spidi kubwa kutoka vichochoroni wanavuka barabara wanazama upande wa pili na kupotea vichochoroni.
Sasa mimi sikujua wanakimbia nini ikanibidi na mimi nikimbie kwenda mbele ya safari yangu kwa umbali kama mita 100 hivi kisha nikasimama kutafakari ni kitu gani kilichowakimbiza,sasa hapo mahali niliposimama kumbe mbele yangu kuna defender ya polisi halafu mimi sijaiona,kumbe wale vijana walikuwa ni wavuta bangi na wacheza kamari ndio walikuwa wanawatoroka wale polisi.
Basi kwenye ile defender kuna mkubwa wa wale polisi akanishtua kwa sauti kubwa,"wewe kijana unakimbia kimbia hovyo tu bila kujua ni kitu gani unachokikimbia?kuwa makini utaingizwa kwenye kosa ambalo halikuhusu"
Kugeuza shingo hivi naona defender imebeba mapolisi kama 10 hivi.
Hapo mapigo ya moyo yalienda mbio na akili zikaniruka na sikujua nifanye nini hata kuongea kuwaomba msamaha wale polisi badala yake nikapata wenge na kuanza kukimbia tena mpaka stendi huku nahema.
Kilichoniokoa nilikuwa nimevaa smart na sio kihuni yaani sikuwa na muonekano wa kihalifu.
😂😂 Wenge lakujitakia..
 
😂😂😂😂 komamanga uliipata fresh yako
 
Exam room U.E kozi inaitwa Computer Skills or Intro to Computer (sikumbuki vizuri) now nilikua najua vingi ambavyo walifundisha so hii pepa nilimaliza within an hour.

Binti wa education hanijui simjui alichukua booklet bila kuniomba yaani ni aliivuta tu. Kichwa kilinizunguka. Akili inaniletea maamuzi mawili mawili ambayo yakigongana huko zinazaliwa cheche tu na majasho.

Nilimanage tu kusema "Fanya haraka please"

Anakuja lecturer ananiuliza mbona una majasho hivyo? Jibu la haraka lililokuja? "Naendesha mtihani mgumu sana"
 
Hii ilimkuta bro ila nikawa muhanga almanusra anifumue..[emoji23]
Alikuwa kalala simu yake ikaita nikatumwa nimpelekee ile namuamsha mtu anaamka kwa spidi then ananikwida! Halafu ananiuliza we nani..?? Macho yake hapo yamekuwa mekundu ndo kwanza haelewi kakazia kuniuliza we Nani..?
Aisee nilibaki namtazama tu sikumjibu nilibaki nimeshikilia simu yake ikiwa inaita tu mpk wenge likamtoka akaniacha nikampa simu lake nikala kona.. kurudi sebuleni nawasimulia wengine wanacheka tu! Sister nae alivyompenda sifa ndo kwanza ananiambia ati ningemjibu "Mi mwizi"[emoji23][emoji23]
Sidhani Kama ningetoka salama kwa jibu Hilo..[emoji28]
[emoji16][emoji16]
 
Exam room U.E kozi inaitwa Computer Skills or Intro to Computer (sikumbuki vizuri) now nilikua najua vingi ambavyo walifundisha so hii pepa nilimaliza within an hour.

Binti wa education hanijui simjui alichukua booklet bila kuniomba yaani ni aliivuta tu. Kichwa kilinizunguka. Akili inaniletea maamuzi mawili mawili ambayo yakigongana huko zinazaliwa cheche tu na majasho.

Nilimanage tu kusema "Fanya haraka please"

Anakuja lecturer ananiuliza mbona una majasho hivyo? Jibu la haraka lililokuja? "Naendesha mtihani mgumu sana"
Mkuu ndo iliishia hapo tu su mliendeleza..😅
 
Wenge la kupiga bao kwenye paper.

Almost limekata saa 1 bila kufanya kitu ilikuwa Engineering drawing paper masaa matatu.

Wakati kichwani mchoro tayari nimeuchora na naona ndani ya dakika 20 naweza kumaliza ila nashangaa muda wote huo natembeza cursor wala sijaanza.

Nilijizuia kupiga bao ila mara ndio hivyo baada ya pale akili ilikaa vyema dakika 20 nyingi nikamaliza.


Nilikuwa nasikia wanangu kupiga bao kwenye paper nilikuwa nahisi walikuwa wanawaza ngono aisee mambo si hivyo.
 
Wenge la kupiga bao kwenye paper.

Almost limekata saa 1 bila kufanya kitu ilikuwa Engineering drawing paper masaa matatu.

Wakati kichwani mchoro tayari nimeuchora na naona ndani ya dakika 20 naweza kumaliza ila nashangaa muda wote huo natembeza cursor wala sijaanza.

Nilijizuia kupiga bao ila mara ndio hivyo baada ya pale akili ilikaa vyema dakika 20 nyingi nikamaliza.


Nilikuwa nasikia wanangu kupiga bao kwenye paper nilikuwa nahisi walikuwa wanawaza ngono aisee mambo si hivyo.
😂😂 Mkuu hii inawezekana vipi hii..?? Sijawahi kuwa na wenge la hivi walahi..
 
Back
Top Bottom