Mwachiluwi
JF-Expert Member
- Mar 10, 2022
- 25,258
- 48,589
Watoto wana vituko sana mda mwingine unaweza piga uue mfano huyu wangu aliondoka na rimoti mpaka shuleni tafuta limot tafuta haionekani kaja toka shule kakuta watu wanatafuta rimot ndio anasema nilibeba mimi hii hapa nikamwangalia huna jinsi unamuacha
Nyingine
Nikiwa mtoto kuna siku niligoma kula mchana nilikuwa napenda kula saa tisa sasa chakula by saa sita kinakuwa tayari mama angu akaja niamsha nikale nikamwambia mimi sitaki kula akaenda chukua fimbo ile anataka kunipiga nikamwambia mbona ninyi mkiwa hamjisikii kula hakuna anae wapiga?
Mama alicheka akaacha akaondoka zake je wewe mtoto wako kakufanyia nini?
Nyingine
Nikiwa mtoto kuna siku niligoma kula mchana nilikuwa napenda kula saa tisa sasa chakula by saa sita kinakuwa tayari mama angu akaja niamsha nikale nikamwambia mimi sitaki kula akaenda chukua fimbo ile anataka kunipiga nikamwambia mbona ninyi mkiwa hamjisikii kula hakuna anae wapiga?
Mama alicheka akaacha akaondoka zake je wewe mtoto wako kakufanyia nini?